[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wanaume hawajui kujipenda aisee hii mbna sio ajabu shida ni mafuta aliyopewa tu ndo maana wengi mna harufu ya changamoto [emoji1][emoji1][emoji1]
Jamaniπ€ππIla Kuna mkaka hapakagi uso mafuta uso wake umekakamaa kweli unatoa tuvitu tweupe tweupe na uso ni mweusi kuliko rangi ya mwili
πΉπΉKweli kabisaJamaniπ€ππ
Nimecheka uto tuvitu tweupe tweupe sijui tu niniππππΉπΉKweli kabisa
πΉπΉπΉπΉπΉDahNimecheka uto tuvitu tweupe tweupe sijui tu niniπππ
Tell her "she's prettyπ"πΉπΉπΉπΉπΉDah
πππππππ umenifanya nicheke kwa hayo maelezoIla Kuna mkaka hapakagi uso mafuta uso wake umekakamaa kweli unatoa tuvitu tweupe tweupe na uso ni mweusi kuliko rangi ya mwili
DahπΉπΉπΉπππππππ umenifanya nicheke kwa hayo maelezo
Hayo mafuta yanachubua achana nayo kabla hikawa zeruzeruJaman mi ni kijana wa kiume ni miaka mingi huwa sipaki mafuta kweny uso wangu kwasabab nilikuwa natoka vipele nikipakaa usoni Sasa nliwahi kumuuliza muuza daku la urembo,nguo,mafuta ya kupakaa mwilin akaniambia ninunue Aya mafuta Cha ajabu watu wengi wananambia ninamabadiliko usoni nimeanza kiny'aa ushaur juu wa haya mafuta please
Heheheh πMimi sijaelewa kwa kweli
Hayo mafuta Ni ya wanawake, Kazi yake huwa Ni kung'arisha ngozi, na ukiweka maji yake huwa yanachubua, mafuta ya kiume yapo mengi1. Nivea men, Clair men, boss, Vaseline men, linguer, etc imekuwaje umefika hapo??????Jaman mi ni kijana wa kiume ni miaka mingi huwa sipaki mafuta kweny uso wangu kwasabab nilikuwa natoka vipele nikipakaa usoni Sasa nliwahi kumuuliza muuza daku la urembo,nguo,mafuta ya kupakaa mwilin akaniambia ninunue Aya mafuta Cha ajabu watu wengi wananambia ninamabadiliko usoni nimeanza kiny'aa ushaur juu wa haya mafuta please