Pretty white

Pretty white

Kuna wanaume hawajui kujipenda aisee hii mbna sio ajabu shida ni mafuta aliyopewa tu ndo maana wengi mna harufu ya changamoto πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Jirahidi kuzingatia uandishi wako, Umeandika kama mtoto wa Class7.

Ukishaandika vizuri Ni-quote nije nikushauri.

Kama umeandika hovyo hivi na dhahiri haupo serious na ulichoandika.
 
Jaman mi ni kijana wa kiume ni miaka mingi huwa sipaki mafuta kweny uso wangu kwasabab nilikuwa natoka vipele nikipakaa usoni Sasa nliwahi kumuuliza muuza daku la urembo,nguo,mafuta ya kupakaa mwilin akaniambia ninunue Aya mafuta Cha ajabu watu wengi wananambia ninamabadiliko usoni nimeanza kiny'aa ushaur juu wa haya mafuta please
Hayo mafuta yanachubua achana nayo kabla hikawa zeruzeru
 
Jaman mi ni kijana wa kiume ni miaka mingi huwa sipaki mafuta kweny uso wangu kwasabab nilikuwa natoka vipele nikipakaa usoni Sasa nliwahi kumuuliza muuza daku la urembo,nguo,mafuta ya kupakaa mwilin akaniambia ninunue Aya mafuta Cha ajabu watu wengi wananambia ninamabadiliko usoni nimeanza kiny'aa ushaur juu wa haya mafuta please
Hayo mafuta Ni ya wanawake, Kazi yake huwa Ni kung'arisha ngozi, na ukiweka maji yake huwa yanachubua, mafuta ya kiume yapo mengi1. Nivea men, Clair men, boss, Vaseline men, linguer, etc imekuwaje umefika hapo??????
 
Hayo mafuta Ni ya wanawake, Kazi yake huwa Ni kung'arisha ngozi, na ukiweka maji yake huwa yanachubua, mafuta ya kiume yapo mengi1. Nivea men, Clair men, boss, Vaseline men, linguer, etc imekuwaje umefika hapo??????
Daah hatar
 
Back
Top Bottom