Prezoo amtukana Diamond

Diamond ndo alianza kusema mbofu.,mfundisheni dogo kuongea na media Aache sifa za kijinga.
 
domo la diamond km beseni cku akifa napga mziki had asubuh kitaani
 

Nani kakudanganya Domo kaanza mziki miaka 3?sema katoka miaka3 sio kuanza.
Kama hela umezikuta kwa wazazi wako ndo uziache au?mbona Manji na Dewji wanaziendeleza?
Wazaz wake Prezoo wakati wanatafuta money ye wazazi wake walikua wanacheza Golori na Rede.
 

Wema au?kweli we chongo
 
Nimemsikia diamond akiongea leo redioni,na kwa kwel nimeappriciate alichokisema dogo.kiufupi kaumia kwa kile alichokiandika prezzo
 

m.a.t.a.k.o
 
What dju mean by stop hating n work your ass out?

All I meant is, let it go and work hard......it doesn't matter how one got money and we can't justify that, bottom line they have cash, not ours.
 
Kiboko ya Prezzoo ni Jaguar! Ngoja nimuite!!
 
ni sawa na kulinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu. domo ni kichuguu tu!. mia
 
Prezzo namba nyingine ile uwezi kifananisha na Domo kabisaaa. Japo mkwanja wa Ulithi je unajua show moja anapiga kwa shs ngapi? Mim mtanzania but Domo simpendi....
 
Huwa simpendi diamond na sijawahi kuwa shabiki wake ila dogo anajua kuzikonga nyoyo pamoja na domo jaba lake. Prezzo nimejaribi kusikiliza nyimbo zake hazina muwasho viiiilllleee (hii hainifanyi nisimpende. kuliko niwe shabiki wa diamond bora niwe shabiki wa Prezzo hata kama si mkongaji kiviiiiile).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…