Mwanaume hasifiwi kwa hela za kuzikuta, anasifiwa kwa hela alizotafuta mwenyewe! Kwamba Prezzo mkwanja amekua nao inathibitisha kwamba kwamba Platinumz ni kidume coz' jamaa katokea from the scratch na bado katoboa! Na ukiondoa ukweli kwamba Prezzo kaingia kwenye game siku nyingi wakati Diamond just three years ago, basi hapo Diamond anakuwa juu zaidi labda useme kwamba mchiz amedumu kwa game for so long wakati no guarantee kama Diamond nae anaweza ku-survive muda mrefu kama Prezzo!
ni wakati wa diamond sasa!....diamond ana umri mdogo,ametoka katika shida anatengeneza pesa yake mwenyewe kwa nguvu zake,ana muda mchache katika game kuliko huyo mbwa prezzoo lakini ana hit songs kibao,prezzoo sijui ana ngoma gani ya kuifananisha na za platinumz,......diamond ni chuma katika ukanda huu wa africa mashariki naamini diamond angekuwa mkenya basi haters wote wake wa kibongo wangekuwa fans wake!......prezzoo na wajinga wengi chuki kwa diamond ni kwasababu mkali platinumz ni msanii pekee katika ukanda huu wa east africa anayeongoza kula watoto wazuri wenye majina.........................................................
Nani kakudanganya Domo kaanza mziki miaka 3?sema katoka miaka3 sio kuanza.
Kama hela umezikuta kwa wazazi wako ndo uziache au?mbona Manji na Dewji wanaziendeleza?
Wazaz wake Prezoo wakati wanatafuta money ye wazazi wake walikua wanacheza Golori na Rede.
m.a.t.a.k.o
wewe ni shoga! Unawezaje kutukana tusi kama ilo katika comment ambayo aina ubaya wowote?
What dju mean by stop hating n work your ass out?
chaijabaz!!