666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Jana katika ukurasa wake wa twitter rapper Prezoo wa Kenya alitoa picha kutoka kwenye gazeti la hapa nchini zikiwaonesha yeye na diamond,ambapo ndani ya gazeti ilo kulikua na maneno ya diamond akimpondea prezoo!
Prezo aliandika ivi juu ya izo picha"hahaha domo are you siriously?" tena baadae CMB akaandika ivi "you talkin about money or talkin about nonsense? Usishindane na ndovu kunya"
Huyo ndo rapper CMB Prezoo bilionaire wa kikenya mwenye mabeef mengi!
Prezo aliandika ivi juu ya izo picha"hahaha domo are you siriously?" tena baadae CMB akaandika ivi "you talkin about money or talkin about nonsense? Usishindane na ndovu kunya"
Huyo ndo rapper CMB Prezoo bilionaire wa kikenya mwenye mabeef mengi!

