Pride Tanzania imefilisika?

D2050

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
1,919
Reaction score
1,094
Wadau naomba kuuliza hii taasisi ya PRIDE imefilisika? Nauliza haya kwasababu siku hizi wamekuwa wakisua sua sana kukopesha Pesa. Inafikia kipindi hadi mkopoji had I wa tsh300000 inawachukuwa mwezi mzima kutompa mkopaji mkopo anaoomba

Hili limekuja baada tu ya Raisi Magufuli kuingia madarakani au viongozi wa hii taasisi nao walikuwa wanaendesha kwa Pesa za magumashi?
 
Magu apunguze kuwabana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…