Wadau naomba kuuliza hii taasisi ya PRIDE imefilisika? Nauliza haya kwasababu siku hizi wamekuwa wakisua sua sana kukopesha Pesa. Inafikia kipindi hadi mkopoji had I wa tsh300000 inawachukuwa mwezi mzima kutompa mkopaji mkopo anaoomba
Hili limekuja baada tu ya Raisi Magufuli kuingia madarakani au viongozi wa hii taasisi nao walikuwa wanaendesha kwa Pesa za magumashi?