Prigozin wa Wagner anavyowachezea akili Ukraine

Prigozin wa Wagner anavyowachezea akili Ukraine

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiongozi wa kundi la Wagner linaloshirikiana na jeshi la Urusi katika vita pamoja na kujifanya ni mropokaji lakini ni mzalendo sana wa nchi yake.
Baada ta vita kuwa vigumu Ukraine imekuwa ikitafuta kila njia kuwagombanisha warusi ili ipate kusonga mbele. Kwa njia hiyo wamekuwa wakitumia maneno ya kiongozi wa Wagner bila tahadhari. Bahata mbaya kwao ni kuwa kila wanapotangaza alilozungumza dhidi ya jeshi la Urusi ndio muda ambapo anaongeza mapigo na kuzidi kumega ardhi ya Ukraine.
Juzi tena Prigozin alisema ataondosha watu wake ikiwa hatopewa silaha kuiteka Bakhmut yote kabla ya tarehe 9 mwezi huu.Baada ya kuona kinyume chake kila mara safari hii vikosi vya Ukraine vimeweza kupeleleza na kuona badala ya kuonesha dalili za kuondoka kumbe ndio anaongeza wapiganaji na wala hana upungufu wowote wa silaha.
WAMEKIRI KULIONA HILO HAPA
 
Kiongozi wa kundi la Wagner linaloshirikiana na jeshi la Urusi katika vita pamoja na kujifanya ni mropokaji lakini ni mzalendo sana wa nchi yake.
Baada ta vita kuwa vigumu Ukraine imekuwa ikitafuta kila njia kuwagombanisha warusi ili ipate kusonga mbele. Kwa njia hiyo wamekuwa wakitumia maneno ya kiongozi wa Wagner bila tahadhari. Bahata mbaya kwao ni kuwa kila wanapotangaza alilozungumza dhidi ya jeshi la Urusi ndio muda ambapo anaongeza mapigo na kuzidi kumega ardhi ya Ukraine.
Juzi tena Prigozin alisema ataondosha watu wake ikiwa hatopewa silaha kuiteka Bakhmut yote kabla ya tarehe 9 mwezi huu.Baada ya kuona kinyume chake kila mara safari hii vikosi vya Ukraine vimeweza kupeleleza na kuona badala ya kuonesha dalili za kuondoka kumbe ndio anaongeza wapiganaji na wala hana upungufu wowote wa silaha.

Wewe ndio hujui kinachoendelea kisha unachukua mawazo yako na kuweka vichwan mwa watu, wenye akili siku zoote hawaongei, kwa hio ww hapo ndio unajua mitego hio lakin intel zoote za west wameshindwa ijua? Umeona mataifa ya west wakijibu lolote kwenye hizo clips?? They are ahead of that wanamuona jins anajipigia ngoma na ku dance mwenyewe, inshort hao unaowawaza hawahitaji kusikia propoganda wanapata intel ya adui apende asipend
 
Wewe ndio hujui kinachoendelea kisha unachukua mawazo yako na kuweka vichwan mwa watu, wenye akili siku zoote hawaongei, kwa hio ww hapo ndio unajua mitego hio lakin intel zoote za west wameshindwa ijua? Umeona mataifa ya west wakijibu lolote kwenye hizo clips?? They are ahead of that wanamuona jins anajipigia ngoma na ku dance mwenyewe, inshort hao unaowawaza hawahitaji kusikia propoganda wanapata intel ya adui apende asipend
kumbe umeona kama mimi na kama west walivyoona.Sasa kwanini Ukraine wanatangaza sana habari hiyo
 
Kabisa and Ukrain nao wako kimya wanajua kinachoendelea
Nimeiona hizo clip,zingine eti analalamika wale watu wake hawana.skills za vita wanakufa kama panzi,na anaonyesha kuumia tena anaonyesha maiti eti anasema.hii ina damu fresh kabisa,ni kama anaonyesha kuchukizwa.Muongo mkubwa huyu.Nikifikiria anachokifanya Sudan sasa hivi na Dagalo wake. Huyu jamaa mpishi wa Putin hana huruma hata kidogo. Yeye ni maslahi mbele.
 
Wewe ndio hujui kinachoendelea kisha unachukua mawazo yako na kuweka vichwan mwa watu, wenye akili siku zoote hawaongei, kwa hio ww hapo ndio unajua mitego hio lakin intel zoote za west wameshindwa ijua? Umeona mataifa ya west wakijibu lolote kwenye hizo clips?? They are ahead of that wanamuona jins anajipigia ngoma na ku dance mwenyewe, inshort hao unaowawaza hawahitaji kusikia propoganda wanapata intel ya adui apende asipend
🤣🤣
 
Nimeiona hizo clip,zingine eti analalamika wale watu wake hawana.skills za vita wanakufa kama panzi,na anaonyesha kuumia tena anaonyesha maiti eti anasema.hii ina damu fresh kabisa,ni kama anaonyesha kuchukizwa.Muongo mkubwa huyu.Nikifikiria anachokifanya Sudan sasa hivi na Dagalo wake. Huyu jamaa mpishi wa Putin hana huruma hata kidogo. Yeye ni maslahi mbele.
Wale walioenda Iraq,Libya walikua na huruma?

Dunia imempigia saluti Putin kwenye uwanja wa mapambano,hakuna umwagaji damu Kwa raia na hili amelifanya Kwa uangalifu mkubwa unaosababisha vita kuchukua muda mrefu.
 
Wale walioenda Iraq,Libya walikua na huruma?

Dunia imempigia saluti Putin kwenye uwanja wa mapambano,hakuna umwagaji damu Kwa raia na hili amelifanya Kwa uangalifu mkubwa unaosababisha vita kuchukua muda mrefu.
Mimi sio pro Russia wala.Pro Ukraine wala Pro US.Mimi ninachambua habari kama inavyokuja bila kuongonzwa na unazi kwa Russia, Us ama Ukraine ama Nato etc.
 
Mimi sio pro Russia wala.Pro Ukraine wala Pro US.Mimi ninachambua habari kama inavyokuja bila kuongonzwa na unazi kwa Russia, Us ama Ukraine ama Nato etc.
.
20230420_212359.jpg
 
Wewe ndio hujui kinachoendelea kisha unachukua mawazo yako na kuweka vichwan mwa watu, wenye akili siku zoote hawaongei, kwa hio ww hapo ndio unajua mitego hio lakin intel zoote za west wameshindwa ijua? Umeona mataifa ya west wakijibu lolote kwenye hizo clips?? They are ahead of that wanamuona jins anajipigia ngoma na ku dance mwenyewe, inshort hao unaowawaza hawahitaji kusikia propoganda wanapata intel ya adui apende asipend
Hii vita pande zote 2 zina propaganda,,,, propaganda nayo ni silaha kwenye uwanja wa vita
 
Back
Top Bottom