Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hii season kali sana, actions mwanzo mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini huwezi?Yaani nipoteze muda wangu kuangalia katuni ? Una masihara sana ndugu...[emoji125][emoji125][emoji125]
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kwa nini huwezi?
Hata yale magazeti kama ya sani na bongo huwezi kuyasoma? Maana yale mazoezi ya mabush stars hayana uhalisia kabisa. unaweza kucheki Sci-fi movies kama Avatar?Very far from the truth! Mimi naangalia movie zenye element za uhalisia tu
Mbili, Episodes 20
Kwa nini mkuu?Muwe mnakuwa serious kidogo basi
Wanaume wa dar mmekua mtihani sana aiseee
Sasa mkuu utafananisha hiyo series na takataka gani za kikorea unazoangalia?Wanaume wa dar mmekua mtihani sana aiseee
Mimi animation nazikubali and my favorite ni madagascar escape ikiongozwa na my favorite character king julian.Sasa mkuu utafananisha hiyo series na takataka gani za kikorea unazoangalia?
Cheki na hiyo Primal. Ya kitofauti sana.Mimi animation nazikubali and my favorite ni madagascar escape ikiongozwa na my favorite character king julian.
Ila series nazopenda ni kama House of the dragons, Spartacus, Game of thrones, Slave hunter, Jumong, yani zile zenye theme za kizamani zamani hapo ndipo naenjoy.
Series zenye theme za kisasa napenda za mission za kijeshi
Ma movie ya 007, nitayaachaje kwa mfano ?Kwa nini huwezi?
Muache mtoto aangalie vitu vya umri wake😅Wanaume wa dar mmekua mtihani sana aiseee
Katika movies hazina uhalisia ni hizo za bond. Bojack inauhalisia kuliko za bond. cheki hiyo Bojack, inaelezea maisha, umaarufu, addictions nk.
Usijejaribu kumuonyesha mtoto cartoons zenye hiyo nembo ya Adult Swim.Muache mtoto aangalie vitu vya umri wake😅