Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 122
Umejuaje kua Fei kashafikia Prime yake???Me naenda na Chuji, najua ataniofa machaguo mengi ndani ya kikosi changu, kwanzia kukaba, kuchezesha timu na hata kuamua mechi iisheje!
Wewe unamchagua nani?
Usifananishe Chuji na vitu vya kijinga.Kwangu mie Chuji ni moja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika ligi kuu ya TZ. Alikuwa full package mwamba yule.Me naenda na Chuji, najua ataniofa machaguo mengi ndani ya kikosi changu, kwanzia kukaba, kuchezesha timu na hata kuamua mechi iisheje!
Wewe unamchagua nani?
Chuji na fei ni mbalimbali mno Chuji fundiMe naenda na Chuji, najua ataniofa machaguo mengi ndani ya kikosi changu, kwanzia kukaba, kuchezesha timu na hata kuamua mechi iisheje!
Wewe unamchagua nani?
Kwa viungo wa nje chuji alikuwa sawa na yule wa simba aliyefariki kwa ajali. Ni mtazamo wangu tu.Usifananishe Chuji na vitu vya kijinga.Kwangu mie Chuji ni moja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika ligi kuu ya TZ. Alikuwa full package mwamba yule.