Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Siku moja baada ya kuibeba Yanga SC kwa bao la dakika za majeruhi dhidi ya TP Mazembe, mshambuliaji Prince Dube amejiondoa katika mitandao ya kijamii.
Hatua hiyo imewashangaza mashabiki na kuibua maswali mengi, hasa ikizingatiwa mchango wake katika kuokoa matumaini ya Yanga kwenye michuano ya CAF.
Dube, ambaye alikuwa hajafunga katika mechi 13 mfululizo, alifufua matumaini ya Yanga katika dakika za mwisho kwa goli lake la kusawazisha, lakini siku moja baadaye, akaunti zake za mitandao ya kijamii hazikupatikana tena.
Hakukuwa na tamko rasmi kutoka kwa Dube kuhusu sababu za uamuzi huo, hali ambayo imeacha mashabiki wakitafakari.
Hatua hiyo imewashangaza mashabiki na kuibua maswali mengi, hasa ikizingatiwa mchango wake katika kuokoa matumaini ya Yanga kwenye michuano ya CAF.
Dube, ambaye alikuwa hajafunga katika mechi 13 mfululizo, alifufua matumaini ya Yanga katika dakika za mwisho kwa goli lake la kusawazisha, lakini siku moja baadaye, akaunti zake za mitandao ya kijamii hazikupatikana tena.
Hakukuwa na tamko rasmi kutoka kwa Dube kuhusu sababu za uamuzi huo, hali ambayo imeacha mashabiki wakitafakari.