Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ugali kwa sukariWachezaji wengi wa bongo ni vibabu, kuna mmoja hv wa Yanga ety ana 27 yn mm nmempita mwaka mmoja ila ukimwangalia utadhani ni babu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali kwa sukariWachezaji wengi wa bongo ni vibabu, kuna mmoja hv wa Yanga ety ana 27 yn mm nmempita mwaka mmoja ila ukimwangalia utadhani ni babu yangu
Tatizo lake pancha,ila kwenye swala kufunga sina wasi nae. Kama msimu huu hato umia, nikitizama viungo wa Yanga na ziona goli 20+ za Dube ligi kuu.Mchezaji Bora katika kutoka Azam Fc Prince Dube amesajiliwa na mabingwa wa kihistoria Dar Young Africans.
Young Africans waendelee kuimarisha timu kwa kufanya Usajili makini bila kukurupuka.
Prince Dube amesajiliwa ataitumika Dar Young Africans kwa miaka miwili, Prince Dube anauzoefu mkubwa katika league yetu ya Tanzania tunaimani atafanya vyema hata mashindano ya nje.
Ikumbukwe hadi sasa wameendeleza ubabe wa kuchukua mara tatu mfululizo na kwa kikosi hichi hakuna team itakayoisumbua Dar Young Africans ndani ya Tanzania na African kwa ujumla.
Prince Dube ataungana na Pacome, Stephan Aziz Ki, Clatous Chota Chama, Khalid Aucho, Max, Mudathir na wengi katika kikosi cha Young Africans kwa mwaka 2024/2025 na 2025/2026.
View attachment 3035288
Huyu na Mangungu wanalingana umriView attachment 3035294
Huyo mwamba hapo ualaza ushaanza kumnyemelea ila unaambiwa ni kinda la miaka 21 ligi ianze tu tuanze kusikia kelele za mangungu tuachie timu yetu
Nenda kanisani bint.Muache Guede wangu!
Yanga wakimfukuza Guede mimi na ushabiki basii
Utakuwa mlaini laini sana kijana piga tizi.Wachezaji wengi wa bongo ni vibabu, kuna mmoja hv wa Yanga ety ana 27 yn mm nmempita mwaka mmoja ila ukimwangalia utadhani ni babu yangu
Lilikua swala la muda tuMchezaji Bora katika kutoka Azam Fc Prince Dube amesajiliwa na mabingwa wa kihistoria Dar Young Africans.
Young Africans waendelee kuimarisha timu kwa kufanya Usajili makini bila kukurupuka.
Prince Dube amesajiliwa ataitumika Dar Young Africans kwa miaka miwili, Prince Dube anauzoefu mkubwa katika league yetu ya Tanzania tunaimani atafanya vyema hata mashindano ya nje.
Ikumbukwe hadi sasa wameendeleza ubabe wa kuchukua mara tatu mfululizo na kwa kikosi hichi hakuna team itakayoisumbua Dar Young Africans ndani ya Tanzania na African kwa ujumla.
Prince Dube ataungana na Pacome, Stephan Aziz Ki, Clatous Chota Chama, Khalid Aucho, Max, Mudathir na wengi katika kikosi cha Young Africans kwa mwaka 2024/2025 na 2025/2026.
View attachment 3035288
Hasira za nini koloMchezaji bora wa Azam? Unaongopewa hata kwa jambo mnalolijua
Subiri ikianza kuchanganya. Utatambua tu hata kama hutaki.View attachment 3035287
Naskia kati ya hao wawili kuna mmoja ndio yeye.
Ila kutokana na mfululizo wa sajili za umri mkubwa napata tabu mno kutambua yupi boss na yupi mchezaji.
Wewe utaolewa na mimi. Achana na vijana wasiojua kuwatunza ipasavyo nyinyi mabinti wadogo mliozaliwa miaka ya 2000. Guede bye bye! ✋🖐️Prince Dube 10 ndio Guede mmoja!
Yanga wamekosea sana
Nipeleke Ivory Coast nikaolewe na Guede
Mlain sio labla umbo dogoUtakuwa mlaini laini sana kijana piga tizi.
Ujana wako ule na nani, uzee unimalizie mie!Wewe utaolewa na mimi. Achana na vijana wasiojua kuwatunza ipasavyo nyinyi mabinti wadogo mliozaliwa miaka ya 2000. Guede bye bye! ✋🖐️
Ukilaza haumanishi una umri mkubwa ni sawa na mvi kuna wakati mwingine ni vitu vya kurithi mfano mimi nina 28 but nina ukilaza nina jamaa yangu mmoja yeye ana 23 anaukilaza tena ni mkubwa kuliko mimi mpango unisogelee kariba sana ndio unaona kwa mbali ila wa jamaa unaonekana wazi sana. Labda umpime na video vingine but sio kuhusu hivyo vituView attachment 3035294
Huyo mwamba hapo ualaza ushaanza kumnyemelea ila unaambiwa ni kinda la miaka 21 ligi ianze tu tuanze kusikia kelele za mangungu tuachie timu yetu
Done!Malizia na picha boss mbona unatunyima uhondo