coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Kama alivyorudishwa T.Kisinda kwa ajili ya kumkimbiza Joash Onyango. Sajili za kumfunga simba ndio zinawagharimu.Si mlimleta ili aifunge Simba...bado mission haijawa done...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alivyorudishwa T.Kisinda kwa ajili ya kumkimbiza Joash Onyango. Sajili za kumfunga simba ndio zinawagharimu.Si mlimleta ili aifunge Simba...bado mission haijawa done...
Apewe muda ligi ngumu sana kwa sasaHaiwezekani.! Haiwezekani.!
Mechi 8 straika la mchongo mpumalelo asifunge hata goli la offside? Dube ni straika mbovu hajawahi tokea anashindwa hata na huseni mwalimu wa fountain gate? mukwala wa simba? Ateba kaja juzi tu? Dube hatukutaki kwenda zako.