Haiwezekani.! Haiwezekani.!
Mechi 8 straika la mchongo mpumalelo asifunge hata goli la offside? Dube ni straika mbovu hajawahi tokea anashindwa hata na huseni mwalimu wa fountain gate? mukwala wa simba? Ateba kaja juzi tu? Dube hatukutaki kwenda zako.