Kuna kitu kimoja kwenye soka la Tanzania! Soka ni Simba na Yanga!
Maamuzi, uendeshaji, uratibu, mipango nk yote inategemea /inahusu siasa za Simba na Yanga. Hii ni hatari kwa mustakabali wa Soka letu!
Chukulia mfano mdogo wa nyota wa Azam hivi sasa, Dube.
Huyu ni Striker hatari, lakini hajulikani. Tangu ligi ianze anafunga kila mechi so chochote mbele ya akina Mutombo, Mugalu, Bwalya au Morrison.
Tatizo so lingine bali ni Timu anayochezea!
Angekuwa yupo Simba au Yanga sasa hivi tungekuwa na watoto kadhaa wanaoitwa Prince Dube.
Sijui tatizo letu ni nini!
Maamuzi, uendeshaji, uratibu, mipango nk yote inategemea /inahusu siasa za Simba na Yanga. Hii ni hatari kwa mustakabali wa Soka letu!
Chukulia mfano mdogo wa nyota wa Azam hivi sasa, Dube.
Huyu ni Striker hatari, lakini hajulikani. Tangu ligi ianze anafunga kila mechi so chochote mbele ya akina Mutombo, Mugalu, Bwalya au Morrison.
Tatizo so lingine bali ni Timu anayochezea!
Angekuwa yupo Simba au Yanga sasa hivi tungekuwa na watoto kadhaa wanaoitwa Prince Dube.
Sijui tatizo letu ni nini!