- Thread starter
- #21
Hujaona kule jangwani wale baMkuu kwani kasajiliwa lini kaonyesha uwezo lini ulitaka aanze kuimbwa lini??Msemo wa Shujaa asiyeimbwa ni MTU anayefanya vizuri kwa muda mrefu tu lakini wanasifiwa wengine.Dube wa Juzi tu hajafika hata Mechi 10.Ataimbwa tu .....by the way tumeshaanza kumuimba
Congo,
Au
Mpira Sukari,The Animal wa Simba!?