Prince Harry anapenda dark skin

Ni kweli,wanajeshi wa Uingereza waliambiwa wamlinde kipind chote akiwa Afghan,Hadi walilalamika kwamba wanashindwa ku concentrate kwenye mapigano kwa ajili ya kumlinda Prince.
Sio kweli Prince Harry alienda front line akiwa anonymous hakuna mtu aliekuwa anafahamu yuko wapi na yuko kikosi gani ilifanyika kama siri maana ingejulikana ingemuweka hatarini. Hivyo hakuna kikosi kikichokuwa na duty ya kumlinda alienda kama normal soldier tu and fought as other soldiers.

Thus soon baada ya kuwa located na kujulikana alipo jeshi likamtoa Afghanistan na kumrudisha kambini.
 
Na wangejua angekuwa targeted
 
Na wangejua angekuwa targeted
Just simple as that! Kuna documentary moja BBC walifanya nae huko huko Afghanistan but katikati ya interview kikalia king'ora jamaa akatoka nduki na kuwaacha BBC akaenda akaingia kwenye jet fighter akasonga mbele.

Baada ya hapo Royal family wakaona dogo amekuwa exposed sana na pia wale terrorist wish yao terrorist ilikuwa dogo arudi UK akiwa mfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…