Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Nadhani hujui Congo vizuri,kule hawajafa watz tu,majeshi ya umoja wa ulaya wanapajua congo kama death zone...zamani tuliaminishwa kwamba wakenya wana akili sana lakini tangu niingie jf nazidi kugundua kwamba tuliaminishwa uongo,mkenya ni mtu mjinga sana!Mbna basi wakafyeka km kuku kule congo...je inglkuwa alshabab..si wangechakaza kambi nzima
Hata Kama ni mwanajeshi,ni nwanajeshi wa huko kwao,huku kwetu ni raia wa kawaida na hawezi kukanyaga kambi yoyote ya jeshi,hiyo ni protokali mna jeshi mdebwedo sana si ajabu kutumika Somalia, you can't think by using your own brain,so sad!'Princess William' kama mlivomuita akiwa Bongo ni mwanajeshi kamili bana, acha kulialia nyie fanyeni mazoezi yenu ya kijeshi na warundi, kwa raha zenu.
We jamaa. Nimecheka sana hii comment yako. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe mna royal armed forces wote hapo, mvaa makobazi wa Somalia anatwanga kama wendawazimu
Kenya jeshi lenu ??I don't understand#team gukha askari[emoji106] #papa bear #askari stormView attachment 883749
Wanajeshi kufa Congo si jambo la ajabu kama we unafuatilia mgogoro wa congo,waasi na majeshi yanayolinda amani huko,umoja wa ulaya ulishatangaza kwamba congo ni "death point"..so,congo wamekufa hadi waingereza hao mnaowasujudu!..otherwise uwe unajadili kishabiki,waasi wa congo hawatumii mapanga kama wakenya weengi mnavojua kutokana na uvivu wa kufuatilia mambo,..Ndio maana wakapewa kichapo cha mbwa na watoto wadogo huko kwa kina mulisaaa waliojiaami kwa mapanga.
nikimuonaga huyo dogo na kaka yake yani lazima nimkumbuke mama yao Diana alafu nabaki kusema tu hii dunia ina watu wabaya sana.
R.I.P Princess Diana of Wales!
Hahahaa...eti kuiba mikate na biscuits za wahindiWanajeshi kufa Congo si jambo la ajabu kama we unafuatilia mgogoro wa congo,waasi na majeshi yanayolinda amani huko,umoja wa ulaya ulishatangaza kwamba congo ni "death point"..so,congo wamekufa hadi waingereza hao mnaowasujudu!..otherwise uwe unajadili kishabiki,waasi wa congo hawatumii mapanga kama wakenya weengi mnavojua kutokana na uvivu wa kufuatilia mambo,..
Kitu cha ajabu ambacho hadi leo kimewaacha uchi wanajeshi na mfumo mzima wa ulinzi wa kenya,ni lile tukio la westgate,ilikuwa ni aibu,wanamgambo wa 4 wameingia kenya,wamenunua gari,wamekwenda hadi westgate wakaua watu wasio na hatia,huku usalama wa Kenya wakiwa bado wamelala,majeshi yote ya kenya yakazunguka westigate wakiwa na vifaru na kila aina ya silaha ya moto kwa ajili ya watu wa 4 tu,lakini bado wakashindwa mchana wrote hadi kufika saa 2 usiku wanamgambo wakaswali sala ya jioni mule mule westgate huku CCTV ikiwachukua,wakati huohuo majeshi ya kenya yakiwa yamezingira westgate yote,na bado wanamgambo wakafanikiwa kuondoka bila kuonwa ila kwa CCTV tu,baadae ndo so called comandoes wakawa ndo wanaingia ndani,na wala hawakuwa na nia ya kuwakamata wanamgambo wa al shabaab,bali kuiba mikate na biscuits za wahindi! Wanamgambo wanaingia nchini kwenu wanaua na kuondoka,kisha baada ya wiki 2 wanarudi tena gharisa wanaua wanaondoka,baadae tena wanarudi wanateka basi wanaua wanaondoka..
Halafu unakuja hapa kutuambia kwamba eti kenya kuna jeshi!!!..labda jeshi la wezi wa mikate na mashoga!
Kelele mingi ya nini na mnachapwa na watoto wa chekechea tena waliojiaami mapanga. bure kabisa JWTZWanajeshi kufa Congo si jambo la ajabu kama we unafuatilia mgogoro wa congo,waasi na majeshi yanayolinda amani huko,umoja wa ulaya ulishatangaza kwamba congo ni "death point"..so,congo wamekufa hadi waingereza hao mnaowasujudu!..otherwise uwe unajadili kishabiki,waasi wa congo hawatumii mapanga kama wakenya weengi mnavojua kutokana na uvivu wa kufuatilia mambo,..
Kitu cha ajabu ambacho hadi leo kimewaacha uchi wanajeshi na mfumo mzima wa ulinzi wa kenya,ni lile tukio la westgate,ilikuwa ni aibu,wanamgambo wa 4 wameingia kenya,wamenunua gari,wamekwenda hadi westgate wakaua watu wasio na hatia,huku usalama wa Kenya wakiwa bado wamelala,majeshi yote ya kenya yakazunguka westigate wakiwa na vifaru na kila aina ya silaha ya moto kwa ajili ya watu wa 4 tu,lakini bado wakashindwa mchana wrote hadi kufika saa 2 usiku wanamgambo wakaswali sala ya jioni mule mule westgate huku CCTV ikiwachukua,wakati huohuo majeshi ya kenya yakiwa yamezingira westgate yote,na bado wanamgambo wakafanikiwa kuondoka bila kuonwa ila kwa CCTV tu,baadae ndo so called comandoes wakawa ndo wanaingia ndani,na wala hawakuwa na nia ya kuwakamata wanamgambo wa al shabaab,bali kuiba mikate na biscuits za wahindi! Wanamgambo wanaingia nchini kwenu wanaua na kuondoka,kisha baada ya wiki 2 wanarudi tena gharisa wanaua wanaondoka,baadae tena wanarudi wanateka basi wanaua wanaondoka..
Halafu unakuja hapa kutuambia kwamba eti kenya kuna jeshi!!!..labda jeshi la wezi wa mikate na mashoga!
Hii mijitu hovyo sanaWe jamaa. Nimecheka sana hii comment yako. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha! [emoji1] Yaani huoni hivyo vikosi vya BATUK sio vya Kenya, huna macho? Kwahivyo majeshi ya nchi tofauti hayakubaliwi kufanya mazoezi kwa pamoja?Hata Kama ni mwanajeshi,ni nwanajeshi wa huko kwao,huku kwetu ni raia wa kawaida na hawezi kukanyaga kambi yoyote ya jeshi,hiyo ni protokali mna jeshi mdebwedo sana si ajabu kutumika Somalia, you can't think by using your own brain,so sad!
Young mind they train with KDF and we get revenue and free weapons from them...nanyuki town has developed because of this guys
Lengo la hawa wanajeshi wa UK hapo Kenya ni nini haswa.
Inakuwaje kenya kuwe na majeshi ya uingereza??..ukiona hivyo ujue hiyo ni failed state!Hahaha! [emoji1] Yaani huoni hivyo vikosi vya BATUK sio vya Kenya, huna macho? Kwahivyo majeshi ya nchi tofauti hayakubaliwi kufanya mazoezi kwa pamoja?
kweli nchi hii ni ya wenyewe tangu enzi maumau mpaka leo hii wapo,HatariiiKambini ndani ya exercises and drills!View attachment 883751View attachment 883752View attachment 883753View attachment 883754
NI UHURU wa bendera ππAlisemaga baba wa TaifaHahahHahahahahahahaha,sasa huu upuuz wajeshi la watu england kufanya hii nchi ya kenya shamba la nyani la mazoez litaisha lin??