Prince William kutembelea Kenya septemba 30

Atatembelea Tanzania, Kenya & Namibia...
 
Muachage kukurupuka, mnajiaibisha na kupigilia msumari neno nyumbu.
Mbona anakuja Tz. Aibu
 
Ni katika kuimarisha viwanda vya ndani mkuu.

Nasikia siku hizi tunaingiza nguo mpaka kutoka Uganda.

Nchi yenye bandari ya bahari Tanzania, inaingiza nguo zinazotoka nje ya Africa, kwa kupitia nchi ambayo haina bandari ya bahari, Uganda.
Uchumi wa kinyumenyume.
 
Prince William yupo kwenye campaign ya kupiga vita UJANGILI Dunian kwahiyo atatembelea Nchi zalizo kumbwa na Tatizo kubwa la UJANGILI na Tanzania Ipo kwenye shida hiyo .....kwa Tanzania ni fursa hiyo lazima Prince awache Mzigo wa Stealing pound kupambana na UJANGILI.
 
Maumivu yenu ya kupigwa tatu mzuka huko majimboni ndio yanafanya mnaropoka vitu vya ajabu hivi?

Nani kakuambia haji Tanzania?
Tanzania sisi tunafuatwa hatuna shobo za kipumbavu kama nyinyi kupapatikia wanaume, mtakuja mchumbiwe nawaambia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duu!!!
 
Maumivu yenu ya kupigwa tatu mzuka huko majimboni ndio yanafanya mnaropoka vitu vya ajabu hivi?

Nani kakuambia haji Tanzania?
Tanzania sisi tunafuatwa hatuna shobo za kipumbavu kama nyinyi kupapatikia wanaume, mtakuja mchumbiwe nawaambia
Unadhani kwanini Kenya inatangaza ziara hii huku nyinyi mkibweteka ?
 
Tuko kwenye viwanda vidg vidg na tumeshamaliza matengezo ya daraja la ubungo.
 


Atatembelea Kenya, Tanzania na Namibia.
 
Huku JF kuna vilaza ajabu,sasa huyu prince akitembelea kenya kunafaida gani?!!? May waziri mkuu wa England ambaye ndiyo kiongozi wa serikali na maswala yote ya kiuchumi alienda kenya kipi kilitokea?!!? sembuse huyu.
 
Huyo anakuja kukagua miradi ya Bibi yake.
 
Unadhani kwanini Kenya inatangaza ziara hii huku nyinyi mkibweteka ?
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza, we wapaona pabaya, wengine tunapaona pazuri na wageni wanakuja kupatembelea.
Hizo siasa zenu na roho za ghilba zitawakondesha sana.
 
Nadhani uzi huu ulikuwa unawalenga watanzania, maanake comments zenyewe hazihusu Kenya hata kidogo. Watz wamekuwa watu wenye hasira za ajabu sana siku hizi.
 
Wazee wa kukurupuka na kubadilishia gia hewani, nani hawajui nyinyi.
Hukufaham chochote, acha kuzuga hapa. Ulishaconclude. Na umeshaumbuliwa, anakuja Tz kwanza, kuedit thread huwezi, waonekana mchawi tu. Mtapata tabu sana awamu hii.
kwani taarifa ya ziara yake imetenganishwa ? yaani kila nchi ina taarifa yake binafsi ya ujio wa mtu huyu ? ukijibu hili utakuwa umenielewa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…