Prince William kutembelea Kenya septemba 30

Prince William kutembelea Kenya septemba 30

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakati nchi nyingi za EAC zikirudi nyuma kwa kasi ya radi kidiplomasia ,hali ni tofauti kwa nchi ya Kenya , nchi hiyo ambayo ina tofauti kubwa sana kielimu , kiuchumi na kidemokrasia ukilinganisha na nchi zote za ukanda huu inazidi kuchanja mbuga kuimarisha uhusiano na wadau wa maendeleo wa dunia .

FB_IMG_1537299126957.jpg

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
 
tusipoangalia tutarudi kwenye ule wakati wa kuvaa suruali za viraka makalioni
Ni katika kuimarisha viwanda vya ndani mkuu.

Nasikia siku hizi tunaingiza nguo mpaka kutoka Uganda.

Nchi yenye bandari ya bahari Tanzania, inaingiza nguo zinazotoka nje ya Africa, kwa kupitia nchi ambayo haina bandari ya bahari, Uganda.
 
Ni katika kuimarisha viwanda vya ndani mkuu.

Nasikia siku hizi tunaingiza nguo mpaka kutoka Uganda.

Nchi yenye bandari ya bahari Tanzania, inaingiza nguo zinazotoka nje ya Africa, kwa kupitia nchi ambayo haina bandari ya bahari, Uganda.
Kodi ya bandari yetu ni kubwa sana kwa wazawa. Mitumba inapita bandari ya Dar Kama mizigo ya Rwanda na inapelekwa Uganda na sisi tunakwenda kuhemea
 
Kodi ya bandari yetu ni kubwa sana kwa wazawa. Mitumba inapita bandari ya Dar Kama mizigo ya Rwanda na inapelekwa Uganda na sisi tunakwenda kuhemea
Ni jambo la aibu sana.

Siyo tu tunavaa mitumba, bali mitumba ya kuzungusha.

Kwa sasa naweza kutaka kuleta gunia la nguo au viatukutoka kwangu watu wasagule hapokwa bimkubwa, halafu nikafikiri natoa zawadi, kumbe nawapa watu mzigowakodi.

Juzi nimempa mtu zawadi,na hela ya kulipiakodizawadi, maana unaweza kuacha zawadi TRA.
 
Ni jambo la aibu sana.

Siyo tu tunavaa mitumba, bali mitumba ya kuzungusha.

Kwa sasa naweza kutaka kuleta gunia la nguo au viatukutoka kwangu watu wasagule hapokwa bimkubwa, halafu nikafikiri natoa zawadi, kumbe nawapa watu mzigowakodi.

Juzi nimempa mtu zawadi,na hela ya kulipiakodizawadi, maana unaweza kuacha zawadi TRA.
We will be a donner country soon walk with your shoulders high.
 
Mbona hata Tanzania 🇹🇿 atakuja?

Tena kwa taarifa yenu vigagula atatembelea Tanzania 🇹🇿 kwanza kabla ya kwenda Kenya 🇰🇪
 
mkuu nchi yetu haijitangazi, tena toka awamu hii imeingia ndio kabisaa tumebaki kua gizani, huyu hawezi kuja kwanza hajui kama kuna nchi inaitwa tanzania!
Maumivu yenu ya kupigwa tatu mzuka huko majimboni ndio yanafanya mnaropoka vitu vya ajabu hivi?

Nani kakuambia haji Tanzania?
Tanzania sisi tunafuatwa hatuna shobo za kipumbavu kama nyinyi kupapatikia wanaume, mtakuja mchumbiwe nawaambia
 
Back
Top Bottom