principal pass

principal pass

Mwaka jana E =39-40 so mwaka huu D =39-40 huwatakiwi kuwa na akil nying principal ya mwaka huu ni D na unapata chuo bila ya wcwc
 
kufuatia maelekezo yaliyopo ktk guide book principal pass kwa mwaka huu ni C na D.. baada ya hapo principal pass ni C
 
According to guide book2014/15 Principal ni A-C and D is pass.Pia imesema ili mtu aweze kuomba nafasi za kujiunga na elimu ya juu anatakiwa awe na angalau Pass(D) mbili.
 
michango yenu ni mizuri,asanteni sana.
 
Back
Top Bottom