Principle: Fanya kitu kidogo kwa ukubwa

Principle: Fanya kitu kidogo kwa ukubwa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kama una biashara ndogo, na ukaifanya kwa ukubwa itakulipa.

Kama una biashara ya kuchoma na kuuza mahindi, unatakiwa uongeze ukubwa kwa kuongeza kijiwe kingine na si kukiboresha kile cha mwanzo.

Kama ulikuwa na bucha, hakuna haja ya kuiboresha ile bucha,bali fungua nyingine uendelee kuuza n.k
Kama unauza barafu, ongeza idadi ya kuzalisha barafu na ongeza idadi ya watembezaji

Kama una genge la nyanya, hakuna haja ya kuliboresha hilo genge, bali anzisha genge lingine.

Kama unachoma mishikaki na chipsi, hakuna haja ya kuboresha hilo eneo,bali ongeza kibanda kingine eneo lingine.

Kama una kijiwe cha kushona kiatu, anzisha kijiwe kingine cha kushona kiatu.

NB: Tuko zaidi ya milioni 60, ila wewe pambana na watu 1,000,000 waweze kununua bidhaa yako kwa 1,000/=; utakuwa tayari bilionea.
Principle: Fanya kitu kidogo kwa ukubwa​
 
Kama una biashara ndogo, na ukaifanya kwa ukubwa itakulipa.

Kama una biashara ya kuchoma na kuuza mahindi, unatakiwa uongeze ukubwa kwa kuongeza kijiwe kingine na si kukiboresha kile cha mwanzo.

Kama ulikuwa na bucha, hakuna haja ya kuiboresha ile bucha,bali fungua nyingine uendelee kuuza n.k
Kama unauza barafu, ongeza idadi ya kuzalisha barafu na ongeza idadi ya watembezaji

Kama una genge la nyanya, hakuna haja ya kuliboresha hilo genge, bali anzisha genge lingine.

Kama unachoma mishikaki na chipsi, hakuna haja ya kuboresha hilo eneo,bali ongeza kibanda kingine eneo lingine.

Kama una kijiwe cha kushona kiatu, anzisha kijiwe kingine cha kushona kiatu.

NB: Tuko zaidi ya milioni 60, ila wewe pambana na watu 1,000,000 waweze kununua bidhaa yako kwa 1,000/=; utakuwa tayari bilionea.
Principle: Fanya kitu kidogo kwa ukubwa​
Sawa mkuu,naona wewe mwenzetu bilionea tayari au wewe mwenzetu huutaki?Maana niliwahi kusikia kuwa mabilionea huwa hawatoi codes za kufanikiwa...
 
Sawa mkuu,naona wewe mwenzetu bilionea tayari au wewe mwenzetu huutaki?Maana niliwahi kusikia kuwa mabilionea huwa hawatoi codes za kufanikiwa...
Unajua mwalimu wa shule ya msingi amefundisha viongozi mbali mbali, lakini yeye sio kiongozi; ulishawahi kujiuliza ni kwa nini?
 
Back
Top Bottom