Printing bussness

kamwa10

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
84
Reaction score
20
Wadau naomba ideas zenu kuhusu printing ,nilikuwa nafikiria kufungua sehemu ya kuprint tshits,plates,vikombe na mengineyo,je ni machine gani nzuri au ambayo itafaa kwa shughuli hizo?je kwa wenye kufanya hii biashara mnaonaje ni biashara nzuri ?nahitaji maoni yenu wana forum
 
mkuu umeingia msikitini na unaomba biblia... hili ni jukwaa la Kimataifa watu wanasoma news tu na sio jukwaa la watoa ushauri... kuwa makini usije kupatwa na virus vya Nigeria....

Nenda Jukwaa la Matangazo pengine wawza pata Ushauri huko.. kwani kuna wauzaji na wanunuzi wwe utakuwa upande wa wanunuzi
 

Hapa dunia kila biashara italia ila nataka tu kujua kutumia fulsa zinazo jitokeza mbele ya ndo yangu. Kama upo tayali kuanza hiyo biashara nitafute nitakupa mwanza wa wapi uanzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…