Prisca Kishamba na media yake ya udaku wanatumika vibaya kusambaza propaganda

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Baada ya kichapo cha goli tano alichochapwa Simba SC na mtani wake yaliibuka maneno/tetesi nyingi kuhusu wachezaji wa Simba SC kusimamishwa baada ya kusemekana wamekula mlungula (Rushwa).

Hizi tetesi zilisambazwa na media ya Kishamba tv.

Cha ajabu kikosi kimetoka wachezaji waliokuwa wanashutumiwa akiwemo Chama yupo katika orodha ya wachezaji watakaoikabili Namungo FC.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu baada ya mechi ya Simba dhidi ya Yanga wakatumika kueneza uongo mitandaoni kuwa wachezaji watano wamehusika kuihujumu timu, waliaminika na wasiojua kutumia akili pekee ila wanaotumia akili wakaona ni namna tu ya kutuliza mashabiki wasione kama timu ilizidiwa na mtani wao.

Zikafuatia na tetesi tena za hao wachezaji kusimamishwa, lakini ajabu hizo tetesi zikitawala hao hao wachezaji wote wanaonekana Bunju wakifanya mazoezi pamoja, na kama haitoshi wachezaji hao hao leo wamepangwa katika mchezo wa leo dhidi ya Namungo.

Njia ya waongo ni fupi sana.

 
Kishamba ni Mshamba sana
 
Si ndo maana alisema ni tetesi? Habari ikiletwa kama tetesi ikaja kuthibitika haikuwa ya kweli ina shida gani kiongozi?
 
Aliyeanzisha ni Prisca au popoma wa JF?
 
Kama kawaida ya Yanga walitembeza mlungula kwa Simba. Kama unabisha we bisha tu.
 
hata wanachama wengine wa simba nao walisema mara inonga,chama na ntibazo kiza wamepigwa,lakini wote wamo wanacheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…