Pre GE2025 Priscus Tarimo mambo unayofanya tunayaona, tulia kwenye kiti chako cha ubunge mitano tena

Pre GE2025 Priscus Tarimo mambo unayofanya tunayaona, tulia kwenye kiti chako cha ubunge mitano tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Jul 27, 2024
Posts
26
Reaction score
12
Wajumbe wa kamati ya fedha na uongozi na menejimenti ya manispaa ya moshi ikiongozwa na mkurugenzi wa manispaa Bi. Mwajuma Nasombe Leo wametembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na ilani ya CCM kwa USIMAMIZI na UTEKELEZAJI wa mbunge wa Moshi mjini Mh.Priscus TARIMO @⁨Priscus Tarimo B⁩ ..

Miradi hiyo ni :-

1. Mabweni shule ya sekondari mawenzi

2. Ujenzi soko la mbuyuni

3. Ujenzi wa Nyumba za walimu shule sekondari Lucy Lameck

4. Ujenzi shule ya msingi mzalendo

5. Ujenzi Shule mpya ya sekondari iliyopo kata ya kaloleni


Haya yote ni uwakilishi Bora na utayari wa kutumika MBUNGE wetu kwa kubeba KERO na MAHITAJI mbalimbali ya Moshi mjini ya kimaendeleo.

Mbunge amekuwa mtu sahihi kuipigania moshi kwa kuzidi kuyaleta maendeleo Moshi ikiwa ni Moja ya kazi za mbunge kuomba fedha mbalimbali za maendeleo serikali kuu.

Tuna shukuru Mama Samia Rais wetu kwa kuwa msikivu na mwenye upendo na Jimbo la moshi kwa kuridhia maombi mbalimbali ya mbunge ya fedha za maendeleo...

Kazi hizi za mbunge wetu ni elelezo tosha Kwamba CCM imeahidi na imetekeleza kivitendo maendeleo endelevu yenye kuonekana kila kukicha.

Mbunge amekuwa kiongozi imara asiyelala kwa KUSEMEA Moshi katika SEKTA MBALIMBALI kimaendeleo endelevu.

Mbunge wetu hajakaa kimya ndio maana tuna shuhudia miradi tele ya kimaendeleo Moshi Manispaa yakirindima kwa fujo.

Asante PRISCUS TARIMO kwa kazi unazofanya kwenye Jimbo letu juhudi zako zimekuwa na tija kubwa katika maendeleo ya Moshi mjini.

MAMA SAMIA MAMBO UNAYO FANYA TUNA YAONA TULIA KWENYE KITI CHAKO CHA URAIS MITANO TENA ✅ ✅

PRISCUS TARIMO BINGWAA MAMBO UNAYO FANYA TUNA YAONA TULIA KWENYE KITI CHAKO CHA UBUNGE MITANO TENA ✅ ✅


By ✍🏾Mwandishi Bora
 
Wajumbe wa kamati ya fedha na uongozi na menejimenti ya manispaa ya moshi ikiongozwa na mkurugenzi wa manispaa Bi. Mwajuma Nasombe Leo wametembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na ilani ya CCM kwa USIMAMIZI na UTEKELEZAJI wa mbunge wa Moshi mjini Mh.Priscus TARIMO @⁨Priscus Tarimo B⁩ ..

Miradi hiyo ni :-

1. Mabweni shule ya sekondari mawenzi

2. Ujenzi soko la mbuyuni

3. Ujenzi wa Nyumba za walimu shule sekondari Lucy Lameck

4. Ujenzi shule ya msingi mzalendo

5. Ujenzi Shule mpya ya sekondari iliyopo kata ya kaloleni


Haya yote ni uwakilishi Bora na utayari wa kutumika MBUNGE wetu kwa kubeba KERO na MAHITAJI mbalimbali ya Moshi mjini ya kimaendeleo.

Mbunge amekuwa mtu sahihi kuipigania moshi kwa kuzidi kuyaleta maendeleo Moshi ikiwa ni Moja ya kazi za mbunge kuomba fedha mbalimbali za maendeleo serikali kuu.

Tuna shukuru Mama Samia Rais wetu kwa kuwa msikivu na mwenye upendo na Jimbo la moshi kwa kuridhia maombi mbalimbali ya mbunge ya fedha za maendeleo...

Kazi hizi za mbunge wetu ni elelezo tosha Kwamba CCM imeahidi na imetekeleza kivitendo maendeleo endelevu yenye kuonekana kila kukicha.

Mbunge amekuwa kiongozi imara asiyelala kwa KUSEMEA Moshi katika SEKTA MBALIMBALI kimaendeleo endelevu.

Mbunge wetu hajakaa kimya ndio maana tuna shuhudia miradi tele ya kimaendeleo Moshi Manispaa yakirindima kwa fujo.

Asante PRISCUS TARIMO kwa kazi unazofanya kwenye Jimbo letu juhudi zako zimekuwa na tija kubwa katika maendeleo ya Moshi mjini.

MAMA SAMIA MAMBO UNAYO FANYA TUNA YAONA TULIA KWENYE KITI CHAKO CHA URAIS MITANO TENA ✅ ✅

PRISCUS TARIMO BINGWAA MAMBO UNAYO FANYA TUNA YAONA TULIA KWENYE KITI CHAKO CHA UBUNGE MITANO TENA ✅ ✅


By ✍🏾Mwandishi Bora
Haya sio Saa100 anafanya au ni mbunge???
Mbona mnatuchanganya😳
 
Dawa ya chawa inahitajika hapa. Wamezidi kuwa wengi kwenye nguo za Yanga
 
Ukitoa ujanja ujanja wa P. Tarimo unabakiwa na nini ?
 
Uchaguzi unakaribia tujiandae wabunge kuja kujipakulia minyama kwa new id..!!
 
Kitakachokuondoa na kukunyima ubunge wako 2025.
1. Upanuzi wa Barabara ya YMCA- KCMC Umbali wa km 2.6
2. Ubinafsi na uchoyo
3. Diwani wa Kata ya Mawenzi.
4. Ujenzi wa soko la memorial
5. Ujenzi WA stand ya mkoa ,Nganga mfumuni.
6. Ahadi hewa ,ulizo ahidi ukakimbia
7. Ugomvi wa kumuondoa meya wa zamani
8. Ujenzi soko la samaki mbuyuni
9. Kushindwa kushughulikia kero za vijana
10. Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami,uliyojenga kwenda nyumbsni kwenu na mwenyekiti wa CCM mkoa
 
Muheshmiwa Mbunge wa moshi mjini @⁨~Priscus Tarimo⁩ leo tarehe 29.1.2025, Kuna kituko kilichotokea msibani mwika, ni kikubwa hakipaswi kabisa kunyamaziwa.

Tunafahamu mbunge anae katibu anaemwakilisha katika majukumu ya kijimbo ..
Ghafla ilipofika wakati wa salam za rambi rambi akasmama kijana mtiifu wa mbunge iddy chaku na kutoa salam za rambi rambi na kusema mbunge amemtuma amuwakilishe na kwamba ametoa rambi rambi ya laki tano kumkabidhi mtoto wa marehemu Jemsi mongi kitu ambacho si kweli..

Hali hii imeleta sintofahamu sana kwa familia na wafiwa kwa ujumla na kuanza kumsumbua mtoto huyo wa marehemu awaonyeshe hiyo rambi rambi aliyopewa na mbunge amepeleka wapi.
Ndipo ikabidi mtoto mkubwa wa familia aende kwa mc na kukanusha kuwa mbunge hajatoa chochote.

Mbunge tunafahamu unae katibu wa kuratibu mambo yako
ni vyema ukaendelea kumtumia kuliko hizi aibu za wazi wazi
 
Muheshmiwa Mbunge wa moshi mjini @⁨~Priscus Tarimo⁩ leo tarehe 29.1.2025, Kuna kituko kilichotokea msibani mwika, ni kikubwa hakipaswi kabisa kunyamaziwa.

Tunafahamu mbunge anae katibu anaemwakilisha katika majukumu ya kijimbo ..
Ghafla ilipofika wakati wa salam za rambi rambi akasmama kijana mtiifu wa mbunge iddy chaku na kutoa salam za rambi rambi na kusema mbunge amemtuma amuwakilishe na kwamba ametoa rambi rambi ya laki tano kumkabidhi mtoto wa marehemu Jemsi mongi kitu ambacho si kweli..

Hali hii imeleta sintofahamu sana kwa familia na wafiwa kwa ujumla na kuanza kumsumbua mtoto huyo wa marehemu awaonyeshe hiyo rambi rambi aliyopewa na mbunge amepeleka wapi.
Ndipo ikabidi mtoto mkubwa wa familia aende kwa mc na kukanusha kuwa mbunge hajatoa chochote.

Mbunge tunafahamu unae katibu wa kuratibu mambo yako
ni vyema ukaendelea kumtumia kuliko hizi aibu za wazi wazi
Bado hamjasema mtasema tu
 
Muheshmiwa Mbunge wa moshi mjini @⁨~Priscus Tarimo⁩ leo tarehe 29.1.2025, Kuna kituko kilichotokea msibani mwika, ni kikubwa hakipaswi kabisa kunyamaziwa.

Tunafahamu mbunge anae katibu anaemwakilisha katika majukumu ya kijimbo ..
Ghafla ilipofika wakati wa salam za rambi rambi akasmama kijana mtiifu wa mbunge iddy chaku na kutoa salam za rambi rambi na kusema mbunge amemtuma amuwakilishe na kwamba ametoa rambi rambi ya laki tano kumkabidhi mtoto wa marehemu Jemsi mongi kitu ambacho si kweli..

Hali hii imeleta sintofahamu sana kwa familia na wafiwa kwa ujumla na kuanza kumsumbua mtoto huyo wa marehemu awaonyeshe hiyo rambi rambi aliyopewa na mbunge amepeleka wapi.
Ndipo ikabidi mtoto mkubwa wa familia aende kwa mc na kukanusha kuwa mbunge hajatoa chochote.

Mbunge tunafahamu unae katibu wa kuratibu mambo yako
ni vyema ukaendelea kumtumia kuliko hizi aibu za wazi wazi
Bado hamjasema mtasema tu na bado propaganda zenu ni za kitoto mtafika mmechoka sana July
 
Kwamba Tanzania hakuna mji wenye barabara zenye viraka
Ntajie mji wenye viraka na mashimo mashimo kama moshi mjini. Siijui mikoa mingi ya Tanzania lakini kati ya ninayoijua "moshi mjini' kuna viraka na mashimo ya kutosha. Ni kitu ambacho nakijua as nimetoka kupeleka watoto shule January hii huko kilimanjaro
 
Back
Top Bottom