Umewaumbua waongo hao wazee wa Eti mt.kilimanjaro kenya tz n baba yao just matter of time tu
But they are East African
kwa dhamanaHivi yule dogo alipiga picha nyufa kwenye ukuta aliachiwa?
Jombaa zinaitwa expansion joints. Umeonywa.Hivi yule dogo alipiga picha nyufa kwenye ukuta aliachiwa?
Maneno ya maskini.
Nenda naorobi ndo utajua wao ni east africa ama la?
Wale ni makapitakist, kila mtu kule anapambana na hali yake si hapa kulia lia njaa na kupewa misaada
Sijakuelewa, baba yao sasa hivi au tungoje hadi hiyo time kama ulivosema?Umewaumbua waongo hao wazee wa Eti mt.kilimanjaro kenya tz n baba yao just matter of time tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Prism Tower. / A+I Design / Abbas S Vohra
Owned by Kenyans built by Kenyans... Number one in the world in design....congrats prism
ππππππ³Hongera kwa Anuj Onyango, Arshad Amolo, Huzaifa Otieno, Melissa Kiambu. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
East AfricansBut they are East African