Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
[emoji26][emoji26]kama dogo King Jofrey alivyochukua nchi kwenye GOTKwenye HOMELAND wengi walisikitika na wengine kuacha kabisa kuangalia baada ya BRYOD kufa kwa kunyongwa. Ndio msisimko wenyewe wa movie, kuwavika watazamaji hisia kuona jambo kama halisi kabisa, kufurahi na kuhuzunika.
Ila Guss Fring alikua mafia haswa ila anaonekana falaaaaaa[emoji3][emoji3]Hata mimi hapo nilishtuka nikasema mwamba hajafa..ila kamera ilivyobadilika nilicheka kinoma.
Ok sawa sawa nimekupata Mkuu. Inaonekana ina umafia mwingiMwalimu wa Sekondari wa somo la Kemia mwenye mtoto wa kiuke mlemavu wa miguu na mke mwenye ujauzito wa bahati mbaya (unwanted pregnancy) anagundulika kuwa ana Kansa ya Mapafu na ipo steji ya juu kiasi kwamba haiwezi kutibika, amebakiza miezi 6 tu ya kuishi. Akijicheki ni kuwa hana chochote cha kuiachia familia yake pindi atakapokufa, anawaza kupambana walau apate ada ya wanawe iwasaidie kufika chuo kikuu, sasa kwa muda wa miezi 6 kupata pesa hiyo anaona hakuna njia ya mkato zaidi ya kuuza unga (madawa ya kulevya).
Anakutana na mwanafunzi wake wa zamani ambaye sasa ni muuza madawa na wanakuwa partners, mwalimu akitumia utaalamu wake wa kemia kutengeneza madawa na kijana mwanafunzi akitumia uzoefu wa mtaa kuyauza, na wakati huohuo mwalimu anapambana kujiuguza kansa kwa fedha ya madawa. Mwalimu anakuja kuwa mtengenezaji namba 1 wa madawa gredi kali na anapata hela za kufa mtu, ila sasa biashara inambadilisha tabia anakuwa mkatili na muuaji wa ajabu kabisa kwa ajili ya kulinda biashara na kumlinda partner wake. Angalia uone jinsi maisha yanavyoweza kubadilika, mwalimu muoga wa kemia kuja kuwa Drug Lord anayeogopwa na wauza madawa ya kulevya.
Hahaha... Usimsahau Badger.Skinny Pete:Yoooo Jesse' that blue meth you guys are cooking it's a bomb..out of this world.
Nilicheka sana dogo king geofrey alipokata kata kwa panga kitabu alichopewa na uncle wake Tyrion Lannister..yaani mtunzi aliuoneshs ukichaa wa mfalme vizuri sana😀😀[emoji26][emoji26]kama dogo King Jofrey alivyochukua nchi kwenye GOT
au ufala wa Arturo kwenye Money Heist[emoji23][emoji23]
Washkaji wa damu wa Jesse. Walimsaidia sana kumficha baada ya kuokolewa na Walter White kutoka kwa kina uncle Jack - El Camino (2019)Hahaha... Usimsahau Badger.
[emoji3][emoji3]yeah na Badger..Jesse alikuwa hawasahau wadau wake wa wayback..Hahaha... Usimsahau Badger.
Kwa Maza alikuwa sahihi, Skyler alikuwa anakera sana.Walter Junior:You're being a pussy Dad.
Walter Junior:You're a bitch Mom.
Dogo alizingua kinoma
Ina dual language? Nikimaanisha episodes unaweza kupata zenye lugha ya kingereza?Angalia moja ya kituruki inaitwa "Eskiya Dunyaya Hukumdar Olmaz(EDHO)" yaani "Bandits will never rule the World", utakuja kunishukuru...
Hiyo ndo criminal series kali kwangu kuliko hizo zako amini.
Pia utaongezea na "Sons of Anarchy"
Natamani niipate GOT complete niirudie tena.Fikra zangu zilikuwa sahihi kujua kuwa hukumaliza. Zinakatisha tamaa ila ukikomaa nazo ukaangalia mpaka mwisho utajikuta ukitamani zisingefika mwisho, yaani ziendelee tu. Mimi GOT nimeangalia mwaka jana 2021, nilikuwa sijawahi kuielewa hata kidogo, niliipata ikiwa complete, nikaicheki na kugundua kuwa nilikosa burudani muda mrefu. Angalia tena uzimalize hizo, hutajutia
Mzee Walter anaingia ndani anakuta watu wamejaa wanamsubiri yeyeWalter Junior:You're being a pussy Dad.
Walter Junior:You're a bitch Mom.
Dogo alizingua kinoma
Ninayo yote complete, kama upo Dar nicheki DMNatamani niipate GOT complete niirudie tena.