we jamaa watu hadi tushasahai hii kitu ..ila ni bonge ya series
ndo umeiona leo...
We peleka fb huko,watu tumesahau hata kama kuna hicho kitu.
kweli saint ivuga,lakini siyo mbaya kukumbushia
Michael Scorfield
Linc Burrows
Succre
Alex Mahone
John Abbruzi
Theodore Bagwell "T Bag"
Sarah
General
Don Seff nk nk
Don Seff aliniacha hoi sana, ni msanii kwenye nyumba ya sanaa!
Kuna killer mmoja alitumwa na General kumuua mtoto wa Alex,
dah lile lijamaa ni soo nadhani kama sijakosea alikuwa anaitwa "Wyant" , kuna Jf member hapa anaitwa "Bala.." anatumia avatar ya huyo jamaa.
Nilifurahi Alex alivyomshughulikia
Mimi liliniudhi lilipomchoma masindano flani mzee mmoja hadi akachanganyikiwa. Aisee nilifurahi sana mahone alivyoliua kwa mateso taratibu
Don Seff aliniacha hoi sana, ni msanii kwenye nyumba ya sanaa!
Kuna killer mmoja alitumwa na General kumuua mtoto wa Alex,
dah lile lijamaa ni soo nadhani kama sijakosea alikuwa anaitwa "Wyant" , kuna Jf member hapa anaitwa "Bala.." anatumia avatar ya huyo jamaa.
Nilifurahi Alex alivyomshughulikia