Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ana summarize hapo kabla HAJANITANGAZA MSHINDI!!!!!!!! Hakuna mwanaume rijali atasema No to Mambo ya kitanga!!!!!!!! Hata Vizinga havifui dafu hapo! Niko kwenye victoria secrets hapa ila ITS TURNING HOT IN HERE!!!!!!!!!
Nafikiria mikao hatarishi nitakayokaa kwenye hilo dinner! Itabidi nibebe zana kabisaaaaa!!!! JST INCASE! YOU NEVER KNOW TILL YOU KNOW!!!!!!!!!!
Aaaaaaaah! Ongea kiswahili fasaha hapa tukuelewe dear! Si unaju sweetie wanaweza wasielewe mie ndo mshindi! Clarify banaaaa! Jst remember kesho im buying a new LENGIREE!!!!! Hot Pink! Ikumotivate kunishindisha!
hahaha cdhani kama ma boy ameshindwa kusema the one name hapa, sawa hata kama utaamua kubadilisha na kusema wote wapate one by one bt wa kwanza ni wa kwanza, tunarudisha jamvini wadau wamsaidie kuchus nani aanze maana kashasema waende wote, mind u if am nt the first forget abt having dina with me, am too gud to accept kiporo lol ila kiroho safi wa kwanza na atunukiwe, thanx for wasshiriki, i real love this
Hahaaaa! PLAYIN THE VICTIM CARD ili uonewe huruma!!!!!!!! Janja ya nyani tumeistukia!
ha ha,
Sweeties...shindano limekuwa gumu, wazee wa mahakama wameamua dates zitakuwa kwa mmoja mmoja..tutatangaziana ratiba ya nani anaanza na wapi kupitia PMs,..kunahitajika final confirmatory tests (yes!!) za hizi claims zenu.. Ciello, mind you..dinner date atataka kupanda limousine, tafadhali mhakikishie...lolz!!!!
c janja nyani , me masuala ya pm cyataki nataka mambo hadharani atangazwe kwanza then mengine pm, hata jina tu, next time ntakua bize na pm, jamvi halina dili sasa
game ilikuwa tight mbaya kabisa na warembo wote mmekuwa wapambanaji ....ila kuna wengine humu wamepiga sound za uongo live.
dah! jamani kuna watu ni noma humu.
suprise ciello and lara1 your game zipo poa sana.
prisoner 46664 congratulation man ,hope hizo dinner zitaishia pazuri.
ha ha ha ha ha! vp mbona umekuwa mkali namna hii?Nani kadanganya? nani? mtaje au onesha quote iliyochakachuliwa!
hahaha cdhani kama ma boy ameshindwa kusema the one name hapa, sawa hata kama utaamua kubadilisha na kusema wote wapate one by one bt wa kwanza ni wa kwanza, tunarudisha jamvini wadau wamsaidie kuchus nani aanze maana kashasema waende wote, mind u if am nt the first forget abt having dina with me, am too gud to accept kiporo lol ila kiroho safi wa kwanza na atunukiwe, thanx for wasshiriki, i real love this
Hahahaaaaaaaaa! Dakika za majeruhi hizi, watu wanshusha standards! Naona unatamani umpe Prisoner Nakoz kwa kuzembea! Keshadata! IT IS RAINING PAPUCH ON HIM!!!!!!!!!!1 Anashindwa adake ipi aache ipi!!!!!!!!
Prisoner 46664,
Naona ana summarize hapo kabla HAJANITANGAZA MSHINDI!!!!!!!! Hakuna mwanaume rijali atasema No to Mambo ya kitanga!!!!!!!! Hata Vizinga havifui dafu hapo! Niko kwenye victoria secrets hapa ila ITS TURNING HOT IN HERE!!!!!!!!!
Nafikiria mikao hatarishi nitakayokaa kwenye hilo dinner! Itabidi nibebe zana kabisaaaaa!!!! JST INCASE! YOU NEVER KNOW TILL YOU KNOW!!!!!!!!!!