njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Pole sana bwana Shayo najua utakuwa umepigwa mkwara mzito na maboss wako ukafuta tweet ndani ya dk chache, kwani hukujua jamaa jana hakutokea kwenye show iliyoandaliwa na kampuni yenu na vurugu zilizotokea?
Ndiyo madhara ya kurukiarukia kila kitu kukifanyia uchambuzi
Ndiyo madhara ya kurukiarukia kila kitu kukifanyia uchambuzi