Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

mmh yan io sheria ianze kutumika badala ya prezidaa dauta kupata 4 jaman!
mbona matokeo ya watu woote huwa ivyo ivyo why yy?? jiheshimu ndugu usishtue mambo mengine hapa alaaa!
mtu kilaza basi!
angepata one nadhan wengeweka na bango pale salenda teh.
 
Na hiyo DIV IV aliyopata ni baada ya kuwekewa private teacher aweze kumsaidia kwa masomo ya ziada aka tuition. By Feza standards huyu alitakiwa kutimuliwa shule akiwa Form III lakini juhudi za ziada zilibidi zitumike aendelee na hiyo shule. Baba na Mama hawakuwa na muda wa kufuatilia masomo yake, nakula nchi tu.
 
Acheni uhuni, Privacy ndo inaanzia kwa Mtoto wa Rais? Mlikuwa wapi wakati matokeo yanatangazwa toka Enzi?
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha

 
andika hivii
Mwanaasha kaonewa na NECTA kwa sababu ya dini yake tutakuelewa

Ha ha ha ha ha! Namba yake imebadilishwa na ya kafir! Makafir waliojazana serikalini na MoU yao na serikali huu ndio mchezo wao wa kuwafelisha watoto wa dini yetu. Ha ha ha ha ha! MS na FF vipi hapo?
 
Mkuu EMT hatukutaka kwenda kote huko maana issue yenyewe haihitaji hata nguvu kumjibu
Hiyo kwa weli haihitaji kumfafanulia mtu kuwa article aliyoisema hapo angeenda mbele kidogo tuu angekutana na kifungu kinachosema "Bila kuathiri sheria yoyote ......." na hapo angegundua kuwa NECTA nao wana sheria yao inayosimamia kutangazwa kwa matokeo ya wanafunzi ambayo haijavunja sheria yoyote nyingine wala kuenda kinyume na katiba
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Inaonekana waliokujibu hawakukujibu kwa kutumia sheria. Kwa hiyo mimi nitakujibu kwa kutumia sheria. Kabla ya kukujibu inabidi ujue kwamba, any article in the Constitution should not be read in isolation of the others. Pia inabidi ujue kwamba, Ibara nyingi za Katiba ya sasa zinaanza na "Bila kuathiri sheria nyingine za nchi........" Katiba inakupa haki kwa mkono wa kulia, then inaichukua haki hiyo hiyo kupitia mkono wa kushoto.

Now kukujibu hoja yako. Ni kweli Katiba inatoa haki ya privacy. Hata hivyo, ibara ya 30(2) ya Katiba hiyo hiyo inasema "Ifahamike kwamba masharti yaliyomo katika Sehemu hii (sehemu ya tatu ya haki za binadamu) ya Katiba hii, yanayofafanua misingi ya haki, uhuru na wajibu wa binadamu, hayaharamishi sheria yoyote iliyotungwa wala kuzuia sheria yoyote kutungwa au jambo lolote halali kufanywa kwa mujibu wa sheria hiyo..." I am sure NECTA watakuwa wana-publish majina ya wanafunzi waliofaulu na kufeli kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge.

Kwa kifupi vyombo vya dola viliyo chini ya serilkali inayoongozwa na baba yake vimekuwa vikitumia sana hiki kifungu kukandamiza haki za binadamu. Unaenda mahakamani una-cite haki yako ya kibinadamu jamaa wana-cite Ibara ya 30(2) na kesi unashindwa. Kwa hiyo, mtoto wa kikwete ni victim wa katiba mbovu kama wananchi wengine. She is not an exception. Anachotakiwa kufanya sasa ni kumshauri baba yake ili Ibara ya 30(2) indolewe kabisa kwenye Katiba mpya ili yasije yakampata tena.

Kwa hiyo, hii ni changamoto kubwa sana kwake kuona jinsi Katiba ilivyo mbovu. Inambidi sasa nae kuwa mstari wa mblele kabisa kupigania Katiba mpya inayolinda sio tuu privacy yake bali pia privacy za Watanzania wote. Thus, wa kumlaumu sio NECTA bali ni baba yake aliyekubali kuongoza hii nchi kwa katiba ambayo haijali haki za binadamu including hata haki za watoto wake.
Mkuu, mbona unapata tabu kuandika mambo yote haya mkuu.......wewe mwambie hivi,
Akamwambie boss wake kwamba kuna nafasi ya kurisit mtihani ........... hapa mwenge academy kuna nafasi, walimu ni wazuri wa level ya chuo kikuu!!!
 
Pengine mtoa mada alimaanisha kuwa badala ya kuanika majina, wangeweka namba tu za mitihani ya watahiniwa! S/he might have a point here tusimpuuze. Unless tuseme sheria hiyo aloiweka hapo haiwahusu wanafunzi wa shule (ambao kama watoto, consent yao ingepaswa kutolewa na wazazi/walezi wao)

I am in favor ya kutumia namba kuwakilisha majina kuliko ilivyo sasa.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu EMT hatukutaka kwenda kote huko maana issue yenyewe haihitaji hata nguvu kumjibu
Hiyo kwa weli haihitaji kumfafanulia mtu kuwa article aliyoisema hapo angeenda mbele kidogo tuu angekutana na kifungu kinachosema "Bila kuathiri sheria yoyote ......." na hapo angegundua kuwa NECTA nao wana sheria yao inayosimamia kutangazwa kwa matokeo ya wanafunzi ambayo haijavunja sheria yoyote nyingine wala kuenda kinyume na katiba

Mkuu ni kwa manufaa ya wengine pia. Hii imekuwa ikilalamikiwa sana lakini inaonekana walalamikaji hawajui kiini cha tatizo. Natumaini watu kama akina Mwanaasha sasa watajua kwa nini tunapigania katiba mpya. Kutokana na privacy yake kuharibiwa na katiba hii mbovu, sasa watu watakuwa wanamfuatilia kwa karibu her next educational move. Lakini inaonekana kama baba yake hamind matokeo yake na wengine waliofeli, maana nimeona akimwaga mapongezi kwa mwanafunzi wa kike na kiume waliongoza kwa kufaulu vizuri.

By
Jakaya Kikwete
· Updated
6 hours ago

Congratulations - CSEE Best Students 2011. | Facebook
 
hahaaah WATU mnaendekeza upunguani, basi hata matokeo yaGONGWE MUHURI WA SIRI ILI NAYO YAWE MALI YA STATE, ujinga wa kiwango cha juu, kisa mtoto wa KIKWETE KUBANDIKWA HUMU MITANDAONI.
kwanza kajitahidi sana, kwa mujibu wa walimu wake walihisi binti angepata 0, kinyume chake kapata 4, na anasimangwa kwakua amekua akinufaika na umaarufu wa babake, na sasa alipefidia ya gharama ya umaarufu huo
, .............katika pic hii ni huyo aliefunika kifua mabega wazi
IMG_0763.jpg
 
Inawezekana kabisa kukawa na tatizo la privacy hapa lakini anajua sheria kabla kuwa matokeo huwa yanakuwa published na majina. Hii ni nzuri sana especially kwa wale wanaopenda kuforge qualification. Kesho tukimsikia kuwa ni afisa mkubwa BOT au TRA then Watanzania tunapakuanzia kuhoji!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mi nadhani wangeonyesha matokeo ya mazoezi yake ya darasani ingekuwa applicable kwa privacy law,lakini mtihani huu ni wa kitaifa wamefanya wanafunzi wote bila kujali shule gani kasoma na baba yake ni nani,na NECTA hutoa matokeo kwa mfumo huu,
tatizo hapa si privacy,ni kwamba daughter kachemsha kama father, bendera hufuata upepo.
 
Her poor performance clearly reflects her father's dullness for children inherit certain features from their parents. At least now we are made aware of the fact that our president's infelicitious approach to helping this country move ahead has something to do with his brain make up. Although high level of intelligence is not a pre-condition for efficient leadership, sometimes entrusting the presidency to a dull person like JK amounts to condemning the country to fail. That's why in European elections hopefuls are obliged to submit their academic credentials to electoral committees to be assessed for their academic qualities before being endorsed to contest major positions.
 
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha


Na mtoto wa John P. Magufuli naye ana four ya 30 naye sijui atawshtaki necta - mi nilijua ni wa JK tu alofeli
 
Examination is the game of chance and it is not the end of life,She still have the time to try it again and justify to all who criticise her that she is capable of doing wonders!! Rise and fall are there in life to shape your destiny if you refuse to give up. Rise up Mwanaasha God is with you.

ingawaje chama cha baba yako sikipendi mimi!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hahaaah WATU mnaendekeza upunguani, basi hata matokeo yaGONGWE MUHURI WA SIRI ILI NAYO YAWE MALI YA STATE, ujinga wa kiwango cha juu, kisa mtoto wa KIKWETE KUBANDIKWA HUMU MITANDAONI.
kwanza kajitahidi sana, kwa mujibu wa walimu wake walihisi binti angepata 0, kinyume chake kapata 4, na anasimangwa kwakua amekua akinufaika na umaarufu wa babake, na sasa alipefidia ya gharama ya umaarufu huo
, .............katika pic hii ni huyo aliefunika kifua mabega wazi
IMG_0763.jpg

Duuuu watoto wote hawa niwa JK
 
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha



How much are you paid to present this nonsense before great thinkers. Should NECTA have put public names of other students save the name you are defending. How could have NECTA officers know that the respective students is the daughter of the big weight? Had they done so then this institution could been reduced into an abolition. Now as long as all names have been publicised and you not see anything wrong with that then there is no sounding reason as to why the name of president's daughter has been publicised too despite her ugly results. Moreover, there are so many challenging issues we could air our views, opinion, recomendations and what have you and not this issue that to all intents and purposes does not hold water. Next time get your neighbour to assist you filter topics before putting them public
er
 
Examination is the game of chance and it is not the end of life,She still have the time to try it again and justify to all who criticise her that she is capable of doing wonders!! Rise and fall are there in life to shape your destiny if you refuse to give up. Rise up Mwanaasha God is with you.

ingawaje chama cha baba yako sikipendi mimi!!

Exam can not be a game of chance.
 
Back
Top Bottom