Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

mmh yan io sheria ianze kutumika badala ya prezidaa dauta kupata 4 jaman!
mbona matokeo ya watu woote huwa ivyo ivyo why yy?? jiheshimu ndugu usishtue mambo mengine hapa alaaa!
mtu kilaza basi!
angepata one nadhan wengeweka na bango pale salenda teh.
 
Na hiyo DIV IV aliyopata ni baada ya kuwekewa private teacher aweze kumsaidia kwa masomo ya ziada aka tuition. By Feza standards huyu alitakiwa kutimuliwa shule akiwa Form III lakini juhudi za ziada zilibidi zitumike aendelee na hiyo shule. Baba na Mama hawakuwa na muda wa kufuatilia masomo yake, nakula nchi tu.
 
Acheni uhuni, Privacy ndo inaanzia kwa Mtoto wa Rais? Mlikuwa wapi wakati matokeo yanatangazwa toka Enzi?
 
andika hivii
Mwanaasha kaonewa na NECTA kwa sababu ya dini yake tutakuelewa

Ha ha ha ha ha! Namba yake imebadilishwa na ya kafir! Makafir waliojazana serikalini na MoU yao na serikali huu ndio mchezo wao wa kuwafelisha watoto wa dini yetu. Ha ha ha ha ha! MS na FF vipi hapo?
 
Mkuu EMT hatukutaka kwenda kote huko maana issue yenyewe haihitaji hata nguvu kumjibu
Hiyo kwa weli haihitaji kumfafanulia mtu kuwa article aliyoisema hapo angeenda mbele kidogo tuu angekutana na kifungu kinachosema "Bila kuathiri sheria yoyote ......." na hapo angegundua kuwa NECTA nao wana sheria yao inayosimamia kutangazwa kwa matokeo ya wanafunzi ambayo haijavunja sheria yoyote nyingine wala kuenda kinyume na katiba
 
Reactions: EMT
Mkuu, mbona unapata tabu kuandika mambo yote haya mkuu.......wewe mwambie hivi,
Akamwambie boss wake kwamba kuna nafasi ya kurisit mtihani ........... hapa mwenge academy kuna nafasi, walimu ni wazuri wa level ya chuo kikuu!!!
 

I am in favor ya kutumia namba kuwakilisha majina kuliko ilivyo sasa.
 
Reactions: EMT
mi naipongeza necta kwa kuonyesha ukilaza wa first daughter
 

Mkuu ni kwa manufaa ya wengine pia. Hii imekuwa ikilalamikiwa sana lakini inaonekana walalamikaji hawajui kiini cha tatizo. Natumaini watu kama akina Mwanaasha sasa watajua kwa nini tunapigania katiba mpya. Kutokana na privacy yake kuharibiwa na katiba hii mbovu, sasa watu watakuwa wanamfuatilia kwa karibu her next educational move. Lakini inaonekana kama baba yake hamind matokeo yake na wengine waliofeli, maana nimeona akimwaga mapongezi kwa mwanafunzi wa kike na kiume waliongoza kwa kufaulu vizuri.

By
Jakaya Kikwete
· Updated
6 hours ago

Congratulations - CSEE Best Students 2011. | Facebook
 
hahaaah WATU mnaendekeza upunguani, basi hata matokeo yaGONGWE MUHURI WA SIRI ILI NAYO YAWE MALI YA STATE, ujinga wa kiwango cha juu, kisa mtoto wa KIKWETE KUBANDIKWA HUMU MITANDAONI.
kwanza kajitahidi sana, kwa mujibu wa walimu wake walihisi binti angepata 0, kinyume chake kapata 4, na anasimangwa kwakua amekua akinufaika na umaarufu wa babake, na sasa alipefidia ya gharama ya umaarufu huo
, .............katika pic hii ni huyo aliefunika kifua mabega wazi
 
Inawezekana kabisa kukawa na tatizo la privacy hapa lakini anajua sheria kabla kuwa matokeo huwa yanakuwa published na majina. Hii ni nzuri sana especially kwa wale wanaopenda kuforge qualification. Kesho tukimsikia kuwa ni afisa mkubwa BOT au TRA then Watanzania tunapakuanzia kuhoji!!
 
Reactions: EMT
Mi nadhani wangeonyesha matokeo ya mazoezi yake ya darasani ingekuwa applicable kwa privacy law,lakini mtihani huu ni wa kitaifa wamefanya wanafunzi wote bila kujali shule gani kasoma na baba yake ni nani,na NECTA hutoa matokeo kwa mfumo huu,
tatizo hapa si privacy,ni kwamba daughter kachemsha kama father, bendera hufuata upepo.
 
Her poor performance clearly reflects her father's dullness for children inherit certain features from their parents. At least now we are made aware of the fact that our president's infelicitious approach to helping this country move ahead has something to do with his brain make up. Although high level of intelligence is not a pre-condition for efficient leadership, sometimes entrusting the presidency to a dull person like JK amounts to condemning the country to fail. That's why in European elections hopefuls are obliged to submit their academic credentials to electoral committees to be assessed for their academic qualities before being endorsed to contest major positions.
 

Na mtoto wa John P. Magufuli naye ana four ya 30 naye sijui atawshtaki necta - mi nilijua ni wa JK tu alofeli
 
Examination is the game of chance and it is not the end of life,She still have the time to try it again and justify to all who criticise her that she is capable of doing wonders!! Rise and fall are there in life to shape your destiny if you refuse to give up. Rise up Mwanaasha God is with you.

ingawaje chama cha baba yako sikipendi mimi!!
 
Reactions: EMT

Duuuu watoto wote hawa niwa JK
 


How much are you paid to present this nonsense before great thinkers. Should NECTA have put public names of other students save the name you are defending. How could have NECTA officers know that the respective students is the daughter of the big weight? Had they done so then this institution could been reduced into an abolition. Now as long as all names have been publicised and you not see anything wrong with that then there is no sounding reason as to why the name of president's daughter has been publicised too despite her ugly results. Moreover, there are so many challenging issues we could air our views, opinion, recomendations and what have you and not this issue that to all intents and purposes does not hold water. Next time get your neighbour to assist you filter topics before putting them public
er
 

Exam can not be a game of chance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…