Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?


Mkuu hapo ni kwamba ameshajua kuw ait happen and nothing will change the results from worse to good and he has to move on na life na kuwapongeza wale waliofanya vyema
Issue ni kuwa hiyo privacy wanayolilia waililie kwenye sheria iwekwe kwamba majina yasionekane ila no tuu
 
Reactions: EMT
Hawezi kuwashitaki, matokeo ya form four na six ni graduation ya kiwango cha elimu. Vyuo vikuu siku ya mahafali hutaja majina ya waliofaufu na hutoa kwenye kitabu. Km jina lako halipo inamaana hujafaulu. Ndio hivyo hivyo kwa NECTA hayo sio matokeo ya darasa unayatoa kwa namba kwa vile wanajuana, ni ya kumaliza kiwango cha elimu.
Ni sawa na ligi timu inayoshuka daraja si wote tunaijua! Au mbio za riadhaa watanzania tunavyoshika mkia siku za karibuni si dunia inamjua mwanariadha?
 
Baraza la mitihani wangetoa majibu kwa examination numbers. Unaondoa concerns karibu zote za privacy kwa kuwa atakayejua matokeo ni mwenye namba ya mtahiniwa tu.

Tatizo Tanzania tunaandika tu mikatiba na misheria, lakini hatuna utamaduni wa privacy.

Leo hii watu kibao wanalilia kujua "ugonjwa" wa Mwakyembe bila hata concern yoyote kuhusu privacy. Unaenda kuomba kazi Tanzania ni standard kuweka marital status kama ina figure katika kazi.

Wabongo wengi nosy bila kujijua kwamba nosy kwa sababu tumekuwa kama samaki anayeishi majini miaka yote hajui hata kwamba yumo majini.

Utakuta mtu umekutana naye siku ya kwanza hata hajui kama una kazi au uko bench lakini anakuuliza tu "Unafanya kazi wapi?" kama kila mtu ana kazi au anataka kufanya kazi. Ukiwa na kitu kizuri "hiki umenunua bei gani" (mtu hata hakujui) mwingine anaweza hata kukuuliza "mshahara wako kiasi gani". Basi unakuwa unaona kaaa, hapa kazi ipo.

Kwa hiyo zaidi ya sheria, tunahitaji kubadili utamaduni kwa wale wanaoshikilia utamaduni wa kuwa nosy.

Matokeo ya mtoto wa rais mie hayanihusu kwa sababu hajachaguliwa na Watanzania kuwa mtoto wa rais. Alikuwa mtoto wa Kikwete kabla Kikwete hajaamua kuwa rais.
 
Reactions: EMT

I am in favor ya kutumia namba kuwakilisha majina kuliko ilivyo sasa.

Mtoa mada ana point. Everyone has a right to privacy. It is a human right of everyone including the President's children. Lakini Tanzania, privacy law ni sawa na hakuna. Kwa mfano, I am sure utakuwa umeshapokea SMS kutoka makampuni ya simu usiku wa manane, unadhani ni ujumbe muhimu kumbe ni promotion tuu. Where is the privacy and the right to private life? Hakuna. Katiba ni mbovu na sheria nyingine ni mbovu sana.

Inawezeka kuna sababu ya msingi ya kupublish majina ya wanafunzi lakini nafikiri it is a wrong solution applied to the problem. Kadri services nyingi zinavyohamia online fraudsters watakuwa wanatumia identity za watu kufanya mambo yao. Possibly watatakuwa tayari wameshafanya.
 

Mama busy na WAMA Foundation na baba busy na kusafiri nje ya nchi!!!
 
Baraza la mitihani wangetoa majibu kwa examination numbers. Unaondoa concerns karibu zote za privacy kwa kuwa atakayejua matokeo ni mwenye namba ya mtahiniwa tu.

Huo mtindo wa namba ulishapitwa na wakati. Ilichobaki ni kuanikana tu.
 

Kwa hiyo unaona ni bora kutumia majina kuliko namba? Mimi binafsi sioni sababu yoyote ya msingi ya kutumia majina na athari zake ndo tunaziona kwenye matokeo ya huyu binti - kejeli, kebehi, matusi, dhihaka, na mengine mengi tu.

Wangekuwa wanatumia namba haya yote huenda tusingeyajua kabisa na binti wa watu angekuwa spared na hii ridicule tunayoiona sasa.

She doesn't deserve it at all.
 


Mnakumbuka privacy linapobuma? Badala ya kusoma mfaulu!
 

Hivi umesoma Act ya kuanzishwa kwa NECTA? Je, una uhakika kuwa registration fomu walizojaza kwa ajili ya kufanya mtihani hazikuwataka watoe permission kwa NECTA kutangaza matokeo publicly? Jifunze kufanyia kazi hoja zako kabla ya kukurupuka na ku-refer few documents badala ya set nzima ya documents relevant to support your claim!!!!!!!!!!
 
Reactions: EMT

If s/he has interest in this issue, s/he needs to mobilize for a class action and not just an individual because the human rights to privacy for all students whether passed or failed has been violated.


Hiyo ndio inaitwa, "Bila kuathiri sheria nyingine za nchi. Act ya kuanzishwa kwa NECTA ndio "sheria nyingine za nchi". Thanks Mkuu.
 
Kwenye Katiba mpya tuweke kipengele mtoto wa Rais akifeli mtihani baba yake aachie ngazi :lol::eyebrows::embarassed2:

Safari_ni_Safari Indeed you have made my day! Tutasikia mengi na hii katiba mpya.

On a serious note kama hilo likiwepo (wishful thinking) believe me utakuwa ume-ignite undangayifu wa
hali ya juu kwa watoto wa vigogo, hata Dr. Joyce Ndelichako hataweza kuudhibiti undanganyifu.

But one thing nampongeza JK kutoiingilia NECTA, mtoto wake amevuna alichopanda.
 

Kuna mwaka walifanya hivyo, ila nadhani ilikua na matatizo yake pia (labda kuchanganya namba n.k)....
 
Reactions: EMT
Huo mtindo wa namba ulishapitwa na wakati. Ilichobaki ni kuanikana tu.

Hii hapa imekaa kiumbeaumbea, kuanikana ili iweje? Kwa nini mtu mwenye maisha yako na kazi zako utake kujua jua maisha ya watu wengine?

What's next? Utataka kuchunguza kwenye garbage za watu nani kala mayai na nani kala kauzu? Utataka HIV database lenye majina ya wote wenye HIV?

Au ndiyo habari ya kufurahia chochote kibaya kitakachomtokea Kikwete?

Mie nina core principles zinazohusu privacy ambazo zinakuwa violated kwa kuanikana kwenye mitandao hivi. Especially because of the promul;gation of IT and the elevated stigmatization associated with it.
 
Reactions: EMT
Kazi kwelikweli, wa kwa Yusuph Makamba nao Wakashitaki, wa kwa masaburi pia wakashitaki bila kusaha wa shule ya mtumishi wa mungu Mwingira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…