Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
Edson bana hizi sasa ni chuki binafsi. Unataka kusema hata hao waliofaulu walikuwa hawaendi kwenye some entertainments? Acha bana!
kwa huyu nakwambia alikuwa hasomi huyo......huyu baada ya kutoka st.patric arusha alikwenda kifungira..hule hakufikisha wastani wakatimua haraka sana kabla hajaingia form two...ndipo akapelekwa pale feza......mama yake alikuwa mwalimu na mimi nasema hakuwajalina kuwaangaai watoto wake.....mi nakwambai mwanajamiione anayepata div one na hizi four za kina mwanaasha wote msuli wao ni mmoja but in oppoisite direction.......wakati huyu anaitafuta div one mwingine yuko bize na shows kama hizi.....