Privacy Laws

Kevin Kevin

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
28
Reaction score
5
Do we have a data privacy Act or any other laws dealing with Data Protection in Tanzania?
If "YES" please i would love to get a copy and if "NO" then how do we deal with Data Privacy issue in Tanzania?
 
can u give me some example of DATA coz is an ambiguois.
 
jibu ni hakuna
tz hatuna specific data protection act kama katiba inavoagiza tuwe nayo Ibara ya 16.
kwa sasa sheria kama EPOCA, au DNA Act zinavifungu vichache kuhusu privacy lakini havijitoshelezi.
mchakato unaendelea chini ya prof Mchome ambae sio msomi wa ICT law lakini ndio wanaanda hiyo data protection bill. ndio tanzania ilivo.
Kwa sasa hapo Tanzania waone watu kama Fulukunjombe anafundisha Tumaini ana masters ya ICT
au Dr Alex Makulilo mtaalamu wa ICT-data protection yupo open univeristy
na wengineo ingawa sio wengi kina Mambi wa Law Reform..

google pia Tanzania lag on privacy law | Tanzania Legal News
Ubena ambae anasoma PhD Stolkholm huwa anapost makala yake hapa.sina hakika kama keshamaliza

Nishakujibu kama ukitaka zaidi soma vitabu na articles

naona umepewa assignemnt hapo chuoni kwako unataka majibu ya haraka badala ya kusoma.
 
Siyo Tanzania tu bali kwa afrika nafikiri kuna visiwa flani ndo vina hiyo sheria lakini nchi including TZ hata bill tu hazina. Kama unahitaji kwenye hii area wasiliana tu mtaalam Dr. Alex Makulilo kwa wengine walivyoshauri. Nina mawasiliano nae, ukihitaji naweza kukuconnect
 

Asante kwa mchango wako ndugu, lakini kwa bahati mbaya sifanyi assignment NA pia ni heshima zaidi kutoa mchango bila dharau kwani si lazma anayeuliza kuwa mwanafunzi, act like a lawyer ndugu!

Thx guys, nitachek NA hao waungwana
 
ningekuwa na dharau nisingepoteza muda kukuandikia yote hayo na kukupa hata watu wa kuwasaidia
I was just joking labda kama wewe bado uko under 25 au hujui maana ya jokes in academics
lawyers are the most funny people on earth sasa ulitaka niact namna gani tena?
have you been in court? no jokes in court?


Asante kwa mchango wako ndugu, lakini kwa bahati mbaya sifanyi assignment NA pia ni heshima zaidi kutoa mchango bila dharau kwani si lazma anayeuliza kuwa mwanafunzi, act like a lawyer ndugu!

Thx guys, nitachek NA hao waungwana
 
hey wajamen jmn take easy i found that it was a jocking and no bias here my intention is to (we)return in the status quo.
 

Am sorry, never ment to offend you, nashukuru boss
 
hey wajamen jmn take easy i found that it was a jocking and no bias here my intention is to (we)return in the status quo.

Am apologizing for that and withdraw my reply, hope the status quo is maintained
 
data..doc zozote ambazo zitakutambulisha au kukuhisisha fano emails, vitambulisho vyako kama ID card za banks,
au majina yako na anuani zako mfano facebook,emails, nk
watu mmejiregister simu zenu mmetoa anuani zenu na majina yenu kamili hizo ni personal data zako
watu mmejiandikisha sensa mkaweka details zenu na pia mkachukuliwa alama za vidole
kwenye leseni za magari na ID cards hizo ni data zenu
au unapokuwa hosp ukapimwa na dokta ukfunguliwa na file hizo ni sensitive data zako
nk nk nk nk kwa ufupi Tanzania hatuna sheria ya kulinda hivi vitu
mtu wa vodacom anaweza kuamua tu kumuuzia mtu wa tigo data zako au wa Tigo nk
mimi napata emails kutoka baby shop nk sijui nani aliwapa email yangu..

LLB nakushauri utoke ulipo upate LLM au LLD
can u give me some example of DATA coz is an ambiguois.
 
usijali, ndio hivo kuelimishana tu ili kupeana knowledge..
siwezi jua kila kitu au wewe pia.
kama una maswali yalete kwa faida ya wengine
Am sorry, never ment to offend you, nashukuru boss
 
Nadhani mwuliza swali anauliza zaidi ya jamo moja: 1. Privacy Law 2. Data Protection Act

Wengi wanaongelea Data Protection Act lakini sioni kama wamejibu juu ya privacy Law (ipo ama haipo). Because i think they are two different things, sometimes related and sometimes they dont. Ningependa kusikia pia kama kuna mtu anaeweza kufafanuua juu ya area zote mbili! Thanks
 

kwa namna moja ama nyingine sheria hizi zinamuingiliano mkubwa hasa kutokana na ukweli kuwa Data Protection ni moja ya Privacy na nia ya swali ilikuwa ni hiyo na kama ambavyo tumeona majibu kutoka kwa wachangiaji, ila pia si vibaya kama kuna mwenye mchango juu ya jambo hili kwa kuwa mie binafsi sijapata kuziona sheria hizi kwa hapa nyumbani na chanzo hasa cha swali hili ni mfululizo wa emails na text ninazozipata ambazo sijawahi kufanya registration ya aina yoyote na vyanzo hivyo, hii ina maanisha kuwa kunaa biashara nzuri sana inayofanywa ya Personal Data bila kujali madhara yanayowezatokana na ubadilishanaji huo wa Personal Data.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…