Kwani nyinyi na huyo Manara wenu mna tofauti gani? Wote si mna midomo michafu ya kutukana tukana tu watu hovyo!Na yale ya Manara kuwa wanayanga vyupi vyao vimejaa kinyesi,wana Yanga wote ni hamnazo na yale ya Luc Eymael kuwa wana Yanga wote ni sawa na kima na mbwa nayo weka kwenye kumbukumbu zako
Maneno ya Rage yataishi milele. Nyinyi endeleeni tu kutukana. Maana hiyo ndiyo jadi yenu.Kwamba uto wote mmejaa vinyesi kwenye chupi zenu?
Unapenda sana kusikia hizi habari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah eti nn??
Cocastic tenaUnapenda sana kusikia hizi habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Video ya Manara kuhusu wenye akili Yanga unayo?Ukiyakumbuka tu yale maneno ya Ismail Aden Rage dhidi yao, hata huumizi kichwa.
Sio mimi πππManeno ya Rage yataishi milele. Nyinyi endeleeni tu kutukana. Maana hiyo ndiyo jadi yenu.
Hilo chambuzi njaa!Hii habari ya Senzo kuachana na Utopolo ni kama hajaiona hivi, angekua ni Gonzalez katimka Simba, angepost kuanzia asubuhi hadi kesho.
Chambuzi la michongo pale mawingu fm.
Mbabani July 31,2022 09:04 am. View attachment 2309625
Kwani huyo Haji Manara si mwanasimba mwenzenu! Na hata hayo matusi na kejeli zake amejifunzia wapi? Yanga, au huko kwenu?Sio mimi πππ
Kwani Haji Manara si simba mwenzenu! Baada ya njaa kupanda kichwani, na pia kushindwa kuhimili ule mshahara wenu wa laki 7, akaamua kujitoa ufahamu na kuja kuajiriwa na GSM!Video ya Manara kuhusu wenye akili Yanga unayo?
Manara mnamkana tena kipenzi chenu? Utopolo mbona mnakuwa watu wa kulia lia sana? Nyie pia ni watukanaji ila mkijibiwa sawa sawa na ujinga wenu mnaona mnaonewa. Au nyie mna kinga ya kuwasema wengine vibaya bila kujibiwa?Kwani nyinyi na huyo Manara wenu mna tofauti gani? Wote si mna midomo michafu ya kutukana tukana tu watu hovyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na yale ya Manara kuwa wanayanga vyupi vyao vimejaa kinyesi,wana Yanga wote ni hamnazo na yale ya Luc Eymael kuwa wana Yanga wote ni sawa na kima na mbwa nayo weka kwenye kumbukumbu zako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akuuuh hata.Unapenda sana kusikia hizi habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] abeeeehCocastic tena
Ova
Hatumjui sisi mtu wenu huyo na kadi ya uanachama mmempatiaKwani huyo Haji Manara si mwanasimba mwenzenu! Na hata hayo matusi na kejeli zake amejifunzia wapi? Yanga, au huko kwenu?
Jibu swali mkuu...acha kuruka rukaKwani Haji Manara si simba mwenzenu! Baada ya njaa kupanda kichwani, na pia kushindwa kuhimili ule mshahara wenu wa laki 7, akaamua kujitoa ufahamu na kuja kuajiriwa na GSM!
Hivyo hakuna jipya hapo.