Giliad Joel
Member
- Jul 8, 2024
- 9
- 13
Wako aina nyingi labda alishasoma hakufanya paper last year.....au QT ila hongera sanaa kwake juhudi lazimaView attachment 3041615
Mwanafunzi huyu ni private candidate Ndanda Secondary School Center. πͺπͺ
Kweli inaonekana alijipanga zaidi ya muda maalumu.Wako aina nyingi labda alishasoma hakufanya paper last year.....au QT ila hongera sanaa kwake juhudi lazima
Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadraKweli inaonekana alijipanga zaidi ya muda maalumu.
Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadra
Yes imemlipa sanaaa full scholarship miaka 12 karudi mtamuu sanaa....Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.
mbona hizo Watu wanazipiga kitambo sana tu. Toka 2004View attachment 3041615
Mwanafunzi huyu ni private candidate Ndanda Secondary School Center. πͺπͺ