Private candidate aliyepata 1-4

Private candidate aliyepata 1-4

Giliad Joel

Member
Joined
Jul 8, 2024
Posts
9
Reaction score
13
E05B3F36-964E-4E13-839F-BF8EAC1AB1BC.jpeg

Mwanafunzi huyu ni private candidate Ndanda Secondary School Center. 💪💪
 
Muhimu jitihada tu kila kitu chini ya jua kinawezekana mkuu.
 
Wako aina nyingi labda alishasoma hakufanya paper last year.....au QT ila hongera sanaa kwake juhudi lazima
Kweli inaonekana alijipanga zaidi ya muda maalumu.
 
Kweli inaonekana alijipanga zaidi ya muda maalumu.
Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadra
 
Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadra
Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.
 
Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.
Yes imemlipa sanaaa full scholarship miaka 12 karudi mtamuu sanaa....
 
Back
Top Bottom