Private detective/investigator (Mpelelezi binafsi) kwa sasa ni Fursa. Tuitumie!

Private detective/investigator (Mpelelezi binafsi) kwa sasa ni Fursa. Tuitumie!

Firm za namba hii zipo Hata Tanzania lakini kujulikana ndio shida. Hawana Uhuru wameaanza na wale kwenye shida za ndoa wanawahangaikia sana hasa wanawake ila shida akilegeza mkeo analiwaaaa
Labda zinaendeshwa kisiri ila kwa Afrika kusini kuna makampuni yanafanya kazi za kipelelezi na yanalipa kodi kwa Serikali
 
Napenda sana kufanya hii kazi cjui kwa bongo unaanzia wapi kupata kibali
Anaejua njia za kufata anipe mwongozo
 
Hawo watu walishakimbia lakini wako hapahapa Tanzania. Ninachohitaji ni kuwapata tu...
Inaewezekana mkuu..

Nipe majina yao halis, pia kama wana majina ya utani au a.k.a

Walikua wanaish wapi the last time, nyumba na mtaa

Watu wao karibu ni nani uliyemfaham, mpenz au mume au mtoto

Walikua wanafanya kaz gani na ofis zilikua wapi yani last time

Namba zao simu za mwsho kuongea nao kufanya nao mawasiliano

Namba za simu za watu wao wa karibu ni zipi

Wanapendelea kuhang out sehem zipi haswaa

P.I
 
Nikiwahi kufanya hiyo kazi ina ugumu wake muda mwingine nilikuwa nalala nje ya nyumba aiseee.
 
kibongo bongo tuta wa HIRE kucheki michepuko yetu mapenzi usaliti nk..
yani kazi yao itakua based kweye wivu wa kimapenz..watapiga sana hela hapa,esp kwa wakina mama
 
Inaewezekana mkuu..

Nipe majina yao halis, pia kama wana majina ya utani au a.k.a

Walikua wanaish wapi the last time, nyumba na mtaa

Watu wao karibu ni nani uliyemfaham, mpenz au mume au mtoto

Walikua wanafanya kaz gani na ofis zilikua wapi yani last time

Namba zao simu za mwsho kuongea nao kufanya nao mawasiliano

Namba za simu za watu wao wa karibu ni zipi

Wanapendelea kuhang out sehem zipi haswaa

P.I
ukiwa na namba ya mtu unaweza kujua yuko wap na kupata picha yake hata kama hayuko whatsapp?
 
Ni kweli Tanzania hakuna baadhi ya watu wanafanya kisiri,ila kwa Afrika kusini utaratibu huu upo ni vema na sisi tukautumia vijana wakapata ajira.
BRO KWANZA NIKUPONGEZE KWA KULETA HAKA KAUZI MWENYEWE NILISHAWAHI FIKIRIA HII KITU KUWA KWANINI TZ KUSINGEKUWA NA HII KITU PRIVATE INVESTIGATOR NAJUA KIBONGO BONGO NI NGUMU KWASABU KWANZA ITAONEKANA KAMA JEAHI LA POLISI HALIFANYI KAZI HALAFU PIA KUWA PRIVATE DETECTEV INAHITAJI UWE NA ELIMU NZURI YA COMPUTER ILI KUPATA DETAILS ZA VICTIM S LAKIN PIA UWE NA GOOD COMMUNICATION YA TAASISI ILI KUWEZA KUKUPA TAARIFA UNAZOHITAJI SASA HILO KIBONGO BONGO DAAH NI SHUHURI

HII PRAVATE INVESTIGATOR NIMEIONA KWA JAMAA MMOJA ANAITWA BRIYAN WOLF NJE YA NCHI KATIKA CHANNEL YA DISCOVERY HUWA ANARUSHA NA INAKUWA LIVE ANAVYOFANYA INVESTIGATIONS ZAKE UTAPENDA
ASANTE KWA UZI BOSS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sheria zetu za tanzania, hairuhisiw but unaweza kufanya hvyo kwa siri kwa kumuajir mtu mwenye uwezo kiakili, kufanya ujasus kupepeleza hao wahun, so utampa details ambazo unazijua w kuhusu hao watu
Wangeruhusi nahisi ningejiajiri kwa fani hiyo
 
Back
Top Bottom