Shusha pumzi, achana nao Dunia ili ikamilike lazima kuwe na watu namna hii wala wasikupe shida, hawa sio Mungu wala malaika wao ni binaadamu kama wewe kwanini uwakimbie sasa!!Sawa mkuu lkn basi nihukumu mm km mm, sio ufike hadi kwa mtoto. Kuna ulazima gani wa kuita litoto? Kosa la mtoto hapo ni nini? Kuweni na busara, msiwe mnaropoka tu Nyuma ya key board ukidhani mnafurahisha watu kumbe mnaumiza sana mioyo ya watu bila kujua.
Unadhani wote tulipenda kuwa hv? Kuna mambo mengi sana nyuma ya hili jambo, msiwe wakurupukaji tu otherwise mseme tuwaachie jukwaa.
Ukiona hivyo ujue huyo shoga yako sio kilaza wa kuchumiwa na kuletewa nae ni mwanaharakatiMbona mie shoga yangu kaolewa na Dr. Tena kijana tu wa miaka 30's. Alizalishwa akiwa na miaka 23 binti yake ana miaka 4. Tusikalili ndio maana waswahili walisema ukipenda boga penda na ua lake. After all kuzaa sio hoja tabia matters
Ulichagua kuzaa...!hapa unatudanganya labda kama bahati mbaya..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hilo lipo na limeshanitoka, mm nilikuwa hit and run lakini alining'ang'ania balaa huku akijua kuwa ni mme wa mtu, pia kuna jamaa namfaham yy aligharamiwa kila kitu jamaa kaolewa.
Kwahiyo umembambikiza jamaa mtt?!Na ratio ya wanaume wenye ndoa kulea watoto wa michepuko ya wake zao inaongezeka kila siku, sasa wewe waache wapambane na single mother huku wake zao wakiluka ukuta na kujipatia mimba ambazo wanazifanya kuwa za waume zao
Sanasana utasikia nguo atakayovaa kuwakoga wenzake, ukumbi utakuwa wapi....hayo mambo wanayapa muda mwingi kuliko mambo ya msingi ya ndoa.[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] tatizo harusi kuuuubwa ndoa inakuwa zero sasa hapo ndo mtajua kwann wengine wanakimbilia waliozaa
Asante mamii, nshawadharau nawaangalia tu wanavyobwabwaja humu.Shusha pumzi, achana nao Dunia ili ikamilike lazima kuwe na watu namna hii wala wasikupe shida, hawa sio Mungu wala malaika wao ni binaadamu kama wewe kwanini uwakimbie sasa!!
Si ndo paka ujue!Mim akinidanganya nikajua ni singlemother namuacha
PoleSikuchagua kuzaa kabla ya ndoa ila nilipata mimba kabla ya ndoa iliyonipelekea kuwa single mom. Nilikua na option ya kutoa pia ila nilichagua kulea mimba yangu bila kujali binadamu wengine hasa wanaume wajinga kama baadhi yao humu walivyo watasema nini.
Wakati unafanya tendo hukujua kama umeshachagua kuzaa kabla ya ndoa?!Sikuchagua kuzaa kabla ya ndoa ila nilipata mimba kabla ya ndoa iliyonipelekea kuwa single mom. Nilikua na option ya kutoa pia ila nilichagua kulea mimba yangu bila kujali binadamu wengine hasa wanaume wajinga kama baadhi yao humu walivyo watasema nini.
Mwenye mtoto anaolewa na mweny watoto pia... So no case.Hivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Nilichokugundua Mkuu unatafuta tu League na hawa wadada, namsikitikia sana mpenzi wako kwa kuwa na mwanaume mwenye mihemko na aliyekosa busara,muda mwingine kukaa kimya ni bora kuliko kukufulu kwa namna yako sasa kwa taarifa yako wanaume wengi ndani ya ndoa wanalea watoto wasio wao Huyo unayemuita single mimba aliyoibeba ndani ya ndoa yako yaweza isiwe yako naimani siku ukijua utazidi kuifurahia, shwainiIshu kuzalishwa kama umezalishwa labda ntaonja tu ila mipango ya kukuoa sahau
Popote kambiUmefurahiaaa [emoji3][emoji3][emoji3]...au unatupiaga uvunguni?
Hivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Hizi ni kauli za mkosaji
Ligi ipi sasa sie tunaongea ukweli illa nashangaa nyie mnaleta mihemko yenu kwani hapa tulikatazwa kuongelea hizi ishu?Nilichokugundua Mkuu unatafuta tu League na hawa wadada, namsikitikia sana mpenzi wako kwa kuwa na mwanaume mwenye mihemko na aliyekosa busara,muda mwingine kukaa kimya ni bora kuliko kukufulu kwa namna yako sasa kwa taarifa yako wanaume wengi ndani ya ndoa wanalea watoto wasio wao Huyo unayemuita single mimba aliyoibeba ndani ya ndoa yako yaweza isiwe yako naimani siku ukijua utazidi kuifurahia, shwaini
Usifikiri kila mwanamke ana akili kama yako, mwanamke asipokua mama yako atakua Dada yako , shangazi yako au mwanao -Muheshimu mpe heshima yake sio matusiSasa hao masingo faza wakija kukumbushia si inakuwa balaa