Mateso Msigala
Member
- May 12, 2016
- 6
- 1
Msaada jamani wanajukwaa,
Kuna mfanyakazi wa umma kaajiriwa na barua yake ya ajira (mkataba), inasema kipindi cha majaribio ni mwaka mmoja.
Kafanya kazi mwaka 1 umeisha, mwaka wa 2,3,4 imepita mwajiri kakaa kimya hajamuongezea muda wa majaribio, hajampa barua ya kuterminate ajira, wala hajamthibitisha kazini.
Mfanya kazi huyu atakuwa na status gani kisheria? Ni haki zipi za mfanyakazi anazikosa? Madhara yake ni yapi endapo atafukuzwa kazi?
Pliz assist with statutory provisions and caselaw.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mfanyakazi wa umma kaajiriwa na barua yake ya ajira (mkataba), inasema kipindi cha majaribio ni mwaka mmoja.
Kafanya kazi mwaka 1 umeisha, mwaka wa 2,3,4 imepita mwajiri kakaa kimya hajamuongezea muda wa majaribio, hajampa barua ya kuterminate ajira, wala hajamthibitisha kazini.
Mfanya kazi huyu atakuwa na status gani kisheria? Ni haki zipi za mfanyakazi anazikosa? Madhara yake ni yapi endapo atafukuzwa kazi?
Pliz assist with statutory provisions and caselaw.
Sent using Jamii Forums mobile app