Yuko chini ya serikali za mitaa, au ni serikali kuu?
Kama ni serikali za mitaa aende kwa mkuu wake wa idara katika Halmashauri anayofanyia kazi, kupitia kwa katibu wake ataipata hiyo barua. Halmashauri zetu wanajisahau sana, hawana mpango kazi unaowakumbusha kila mfanyakazi na haki zake za msingi anazotakiwa kupewa kwa muda fulani, ni lazima uende kudai kwa nguvu
Sent from my iPhone using JamiiForums