sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutwo tu gari twaonekana ni matata sana 🤣🤣🤣🤣🤣Dereva wa probox huku special zone wanaomba site hadi kwa vieitee😂
Tugari twa magendo huku mpakani.Hutwo tu gari twaonekana ni matata sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndiyo Hizo Hizo Hizo Kabila MojaVipi kuhusu Succeed?
Napakumbuka Sana Kigoma aisee.Mjapani aliyebuni probox alikuwa yupo vizuri na alikuwa ametulia. Hizo probox ndio daladala za kigoma ndanindani huko wanaziita mchomoko. Yaani mnajazwa watu, mizigo na mifugo sanasana mbuzi na kuku. Halafu dereva anaichochea kwenye vumbi la kigoma kwa kasi ya ajabu mkija kushuka wote mna rangi nyekundu ya udongo wa Kigoma... Mchomoko ni next level.
[emoji23][emoji23]lile vumbi noma sana miaka ya nyuma tulipeleka cruiser kadhaa kwenye kambi za wakimbizi asee unaweza sema haupo tzNapakumbuka Sana kigoma aisee .
Kuna vumbi jekundu hatari nyakanazi road kibondo Hadi kasulu Kisha uvinza Hadi kigoma mjini duuuh sio kwa like vumbi
Nipo Kakonko hapa nakusomaNapakumbuka Sana kigoma aisee .
Kuna vumbi jekundu hatari nyakanazi road kibondo Hadi kasulu Kisha uvinza Hadi kigoma mjini duuuh sio kwa like vumbi
Probox haina uwezo wa kushindana na gari yoyote yenye cc zaidi 1900 labda Kama kwenye gari hana haraka
Hana haraka yupo speed 180?? Subaru mkubali tu probox amewala kichwaProbox haina uwezo wa kushindana na gari yoyote yenye cc zaidi 1900 labda Kama kwenye gari hana haraka
Kabisa mkuu! viprobox unapishana navyo vimefunga mizigo mlima kama kule lubumbashiYaani ule mkoa nimakaa Kama miezi 4 unahisi kabisa hapa sio Tanzania