Probox is still a very luxurious car in Kenya while Prodo is a car of a common mwanainchi in Tz!

Wakenya wanajua kueconomize sana, the y for quality and cheap.
 
Ila kiukweli brobox ni gari nzuri kuwa nayo kwani pia waweza itumia kama pickup
Nazikubali sana, hard car, nilitoka nako dom saa kumi alfajiri hii njia ya babati, nikaingia nacho chuga saa nne asubuhi, fully loaded with people and cargo kwa nyuma kule. Hatari hatari
 
hivi hizi gari bei yake ni shingapi mbona naziona ziko nyingi sana barabarani nikawa nashangaa vyuma vimekaza lakini mbona watu wananunua hizi gari eti kwani zinauzwa bei gani
 

Attachments

  • Screenshot_2018-08-18-10-06-19-1.jpg
    75.1 KB · Views: 30
Wakenya ni masikini sana
Kwao matajiri ni wahindi tu!
That’s all
 
Mkuu mimi sio mtu wa magari lakini hizo Toyota Hiace ndogo vipank na zile kubwa dungu au shark unaweza kukuta engine sawa tu labda zote ni 1HZ.

Sijui ulilifanyia utafiti hili jambo?

Na hiyo shark na pank uimara ni sawa tu. Sema moja watu wanaingia wanainama migongo inauma na nyingine angalau hawaumizi migongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…