Habari zenu wandugu.
Naomba kwa mwenye uelewa juu ya mikopo,maana kunasiku nimeenda NMB-Nbarali nikataka kujua utaratibu mzima wa mikopo na urejeshwaji wake kiukweli nilishangaa sana.
Pale nilipopigiwa hesabu na kuambia katika mkopo wa 10m kuna proccesing fee-kama laki mbili.Insurance fee kama 180000,ambayo mteja atakatwa katika mkopo wake.
SWALI:mteja analipa hizo fees kwa kigezo gani ikiwa bado riba atatakiwa kulipa,naomba ufafanuzi maana yule L.O alikerwa na maswali yangu kiasi cha kushindwa kunihudumia.
Naomba kwa mwenye uelewa juu ya mikopo,maana kunasiku nimeenda NMB-Nbarali nikataka kujua utaratibu mzima wa mikopo na urejeshwaji wake kiukweli nilishangaa sana.
Pale nilipopigiwa hesabu na kuambia katika mkopo wa 10m kuna proccesing fee-kama laki mbili.Insurance fee kama 180000,ambayo mteja atakatwa katika mkopo wake.
SWALI:mteja analipa hizo fees kwa kigezo gani ikiwa bado riba atatakiwa kulipa,naomba ufafanuzi maana yule L.O alikerwa na maswali yangu kiasi cha kushindwa kunihudumia.