Processing fee ya mikopo ya benk ni wizi uliokaliwa kimya

Processing fee ya mikopo ya benk ni wizi uliokaliwa kimya

Kwenye taasisi za fedha mikopo ya aina zote( mfano: mortgages, overdraft, bank guarantee, salary advance, etc) ndio bidhaa/huduma zinazozifanya hizo taasisi ziishi. Wenyewe wanaziita, "Asset-based products". Kwa hiyo wakimpata mteja lazima wakukamue.
Jaribu kujiunga na SACCOS ndogo maana na zenyewe zikikua zinaanzisha hivyo vi processing fee kwa majina tofauti tofauti.
NB:
Kuna gharama zingine hujazitaja, mathalani: business plan cost, collateral valuation cost, legal fees, etc.
 
Nchi yetu hii inayoongozwa na CCM kila kitu hovyo wizi kila sehemu,

Mikopo ya benk inawekwa processing fee ya kazi gani? Wakat huo huo unakatwa riba kubwa na bima huu sio wizi?

Mtu unakopa 12M kati ya hizo milioni moja nzima inakatwa etiprocesing fee na bima,

Yani kuniprocessia mkopo kunipa napo unanikata hela? Hivi huu upumbavu ni lini utaisha?
Wakati wafanyakazi na wafanyabiashara wadogo wanaumizwa na riba kubwa na za kinyonyaji, mabenki yenyewe kila mwaka yanasherehekea tu kupata faida kubwa!! And no one cares!!

Kwa hali hii tusahau kuuondoa umasikini.
 
Wakati wafanyakazi na wafanyabiashara wadogo wanaumizwa na riba kubwa na za kinyonyaji, mabenki yenyewe kila mwaka yanasherehekea tu kupata faida kubwa!! And no one cares!!

Kwa hali hii tusahau kuuondoa umasikini.
Lakini si wanatoa gawio?
 
Back
Top Bottom