Habari yenu wana JF napenda kujua produza castro ponela aliekuwa na kesi ya kumuua Msanii Steve 2k yuko wapi siku hizi?jela,uraia au wapi?
Hyo kesi yake ilikuwa manslaughter aliua bila kukusudia alitoka jela kitambo sanaKumbe mshikaji alitoka?
Kumbe kosa la kuua unaweza samehewa?
Aliua bila kukusudiaKumbe mshikaji alitoka?
Kumbe kosa la kuua unaweza samehewa?
Katoka mda SanaaKumbe mshikaji alitoka?
Kumbe kosa la kuua unaweza samehewa?