Baada ya mwaka mmoja akiita press conf, alafu akaja ukumbini na Shorwe au Kitorondo sijui mtamshtaki wapi.....nadhani mngepambana kwanza na BAKITA ili watofautishe kati ya ndege (bird) na ndege (aeroplane).
Kwani unafikiri atasemaje..........atasema MLININUKUU vibaya.