Producer Mikka Mwamba ahojiwa kwa mara ya kwanza, alikuwa hataki kuonekana

Producer Mikka Mwamba ahojiwa kwa mara ya kwanza, alikuwa hataki kuonekana

Mbona alikuwa anaonekana sana tu
Enzi hizo yuko anapiga kazi ofisi yke ilikuwa Hugo house kinondoni!

Ova
 
Naongezea ile ya Hard mad,Tamara
Katika beats alizotengeneza mikka, kwenye baby gal ya mad ice na elimu mitaani ya d knob! alitulia sana...! Yaani pale ndo niliamini huyu jamaa hana mpinzani ukimuacha p funk..!

Nadhani itapendeza sana kama akifanya ngoma mbili tatu na vijana wa sasa...! Akiwemo na Aslay...! Dogo atumie fursa hii kutoka kwa gwiji huyu...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa!! Haaaa!!! , kila napolisikia jina la huyu jamaa, basi namkumbuka, kapaaaafona, mapafu ya mbwa A. K. A the dude, dudu baya na lile ngoma lake anasema simika muziziiiii ( afu kuna kademu k anasema tetemetee), aaah !! jamaa alitisha, kipindi kilee asikwambie mtu bwana.
 
Unaposema mziki wa kizazi kipya ni kipi hicho? Maana bongo flava ina kama 20 years tayari hakuna upya tena labda singeli ndio muziki wa kizazi kipya... kufuatulia sifuatilii but nasikiliza sometimes kwanza mleta mada kasema Mikka alikuwa Hataki kuonekana but yeye mwenyewe kasema hakuwahi fuatwa na mwandishi yeyote. Pia alikuwa mfanyakazi ni ngumu kujisifia
Umezaliwa lini?
 
Binafsi sikuwahi kujua au hata kuwaza huyi gwiji kama sio mtanzania, Aisee! Dully alikua anamtaja kwa mbwembwe
 
Huwezi kuandika Historia ya Bongo flava bila kulitaja jina Hili. He is undisiputed Master.
 
Hili dude linanikumbusha mbali sana...! Kipindi ndo naanza kwenda club kukesha...! Mid mida mikali (kianzia saa tisa) mmeshaanza kusinzia... Basi DJ anawaamsha na hili dude...! Hard mad akimshirikisha dada yake fatma..!

Daaah! Amakweli ujana maji moto...!

Sent using Jamii Forums mobile app
dah kitambo sana
 
Back
Top Bottom