Producer wa Diamond alia na waandaaji wa KTMA


Ni nyingi tu mkuu ukifatilia nyimbo nyingi za wasanii tofauti kuanzia miaka ile ya 2006 mwishoni hadi sasa utakuta anahit zaidi ya kumi kwa mwaka, tena nyimbo nyingi za wasanii wa nje wakija bongo akina Jmartins ukisikia collable wamefanya hapa jua lazima producer awe yeye.. Ana hit kali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…