Raphaeld33
Member
- Mar 1, 2014
- 7
- 6
mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote zaKwa jina naitwa Raphael am 19, ni producer wa muziki wa EDM kutoka Dodoma kwa miaka almost 4. Swali langu ni, je kuna maproducer wa EDM specifically katika kanda ya East Aftica? Na mnahimizaje muziki huu katika society yako.
U r a one big follower bro. Nicheki whatsapp +255688985896 maybe we can exchange ideasmmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..
Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM
PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...
( * ) ....noma sanaaaaaa
1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *
kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC
Nimekuwa nikisikilza tangu enzi za akina Dirty South na Audien akianza kutoka
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]U r a one big follower bro. Nicheki whatsapp +255688985896 maybe we can exchange ideas
Huyo Martin Garrix kuna chupa lake linaitwa Animals ni hatari sana kwa afya za wasikilizaji.mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..
Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM
PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...
( * ) ....noma sanaaaaaa
1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] .Animals ni hatareeee aise....na lile li mask lake ha ha utapendaje...kuna goma jingine la Martin garrix linaitwa "" scared to be lonely"" yani ni hatareee sanaaa...itafute hutajuta....Huyo Martin Garrix kuna chupa lake linaitwa Animals ni hatari sana kwa afya za wasikilizaji.
Pia kwa bwana Avicii kuna ngona inaitwa Nights naikubali sana.
Ila kiboko ya yote kuna ngoma ya bwana Guetta David When it takes over ni hatari sana. So emotional.
au sio....huku africa watu bado wana ngoma za kilocal local tu....kity EDM ndo mpango mzima...dunia nzima inaenda ku be transformed to EDM ....taratibu kama nchi za NIGERIA ,SOUTH AFRICA,MOROCCO,nimeona watu kama akina Martin garrix ,avicii,david guetta wanapiga show kule ...taratibu taratibu africa watabadilika tu....Mwana EDM music ndo habari ya mjini, kibongo bongo naona bado ila kwa sisi ambao tulibahatika kwenda kusoma nje, hizo ndo aina ya miziki inayopigwa Clubs ni raha full kujiachia halafu haiihitaji ukariri style, hii unacheza mwenyewe uonavyo hasa kwa mtu kama mm ambaye ni ziro kwenye kudance hii miziki ndo huwa naipenda maana inakufanya mtu uwe free unacheza unavyotaka, achia sample uliyotengeneza tuiskilize
Naijua hiyo muziki very well, single maarufu za muda wote ni kamammmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..
Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM
PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...
( * ) ....noma sanaaaaaa
1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *
kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC
Naijua hiyo muziki very well, single maarufu za muda wote ni kama
-I'm blue ya Eiffel 65,
-Sandstorm ya Darude,
-Exploration of space ya Cosmic Gate,
-It's a dream ya Dark By Design,
-Better Of Alone ya Alice DeeJay,
-48 hours ya Vengaboys,
-Like I Love You ya The Hitmen.
Genres au subgenres zinazohit kwenye EDM ni House, Eurodance, Techno, Epic Trance, Progressive Trance na Happy Hardcore, katika hizo ipi unayopenda zaidi?, mimi katika hizo huniambii kitu kwenye Happy Hardcore, umeshawahi kusikiliza happy hardcore?, ni mfano wa singeli, ni makombora matupu, kila track ni nzuri.
Naijua hiyo muziki very well, single maarufu za muda wote ni kama
-I'm blue ya Eiffel 65,
-Sandstorm ya Darude,
-Exploration of space ya Cosmic Gate,
-It's a dream ya Dark By Design,
-Better Of Alone ya Alice DeeJay,
-48 hours ya Vengaboys,
-Like I Love You ya The Hitmen.
Genres au subgenres zinazohit kwenye EDM ni House, Eurodance, Techno, Epic Trance, Progressive Trance na Happy Hardcore, katika hizo ipi unayopenda zaidi?, mimi katika hizo huniambii kitu kwenye Happy Hardcore, umeshawahi kusikiliza happy hardcore?, ni mfano wa singeli, ni makombora matupu, kila track ni nzuri.
Mi naijua ile ya scared to be lonely ni hatari sana ileHuyo Martin Garrix kuna chupa lake linaitwa Animals ni hatari sana kwa afya za wasikilizaji.
Pia kwa bwana Avicii kuna ngona inaitwa Nights naikubali sana.
Ila kiboko ya yote kuna ngoma ya bwana Guetta David When it takes over ni hatari sana. So emotional.
Armin Van Buuren kwenye progressive trance ndiyo mwenyewe.progressive trance na Armin van burren hatareee...sana..sandstorm ya Darude nayo ni shidaaa...[emoji3][emoji3]