Product za Feza Schools huwa zinapotelea wapi?

Product za Feza Schools huwa zinapotelea wapi?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Naomba kujua

Hii shule zaidi ya miaka 15 kila mwaka kitaifa matokeo ya form 4 na form 6 lazima iwepo.

Ila product zake sijawahi kutana nazo sio serikalini hata private sector.

Huwa zinaenda wapi?
 
Hivi kwanini mna closed mind? Unadhani opportunities zipo Tanzania tu?
 
Naomba kujua

Hii shule zaidi ya miaka 15 kila mwaka kitaifa matokeo ya form 4 na form 6 lazima iwepo.

Ila product zake sijawahi kutana nazo sio serikalini hata private sector.

Huwa zinaenda wapi?
Wengi tu wameajiriwa serikalini wapo walioajiriwa TRA, walimu, daktari, Engineer n.k

Unasema hujawahi kutana nao kwani kila unapo kutana na muajiriwa lazma akuambie shule aliyosoma before?
 
Yaani usone Feza halafu ukaajiriwe halmashauri ya ushirombo?
Unaongea kitu ambacho hukijui, wapo wengi tu wameajiriwa serikalini, and wapo pia walioenda kutafta opportunities nje ya Tanzania, pia wapo walioajiriwa kwenye mashirika hapa hapa bongo

Punguza mentality yakuwa ukisoma shule za feza basi ww n mtu tofauti
 
Unaongea kitu ambacho hukijui, wapo wengi tu wameajiriwa serikalini, and wapo pia walioenda kutafta opportunities nje ya Tanzania, pia wapo walioajiriwa kwenye mashirika hapa hapa bongo

Punguza mentality yakuwa ukisoma shule za feza basi ww n mtu tofauti
Unanijibu mimi au mtoa mada?!
 
Wengi tu wameajiriwa serikalini wapo walioajiriwa TRA, walimu, daktari, Engineer n.k

Unasema hujawahi kutana nao kwani kila unapo kutana na muajiriwa lazma akuambie shule aliyosoma before?
Napitia cv za wahitaji kila leo
 
Back
Top Bottom